Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

kumbe issue ya cctv ipo tayari inaanza mwezi wa sita meya kadwe katangaza , sasa wajanja wanadandia baada ya kuifahamu
 
Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

=============================



Chanzo: Mwananchi

kanuni na taratibu zifuatwe katika zoezi la kumpata mgombea mwenye vigezo.CCM itabidi wasifuate maneno ya watu bali mwenye sifa wanazozitaka apewe nafasi.
 
Ni ili kurahisisha utatuzi wa matatizo lukuki ya jiji la Dar, kwamba waziri akilala akiamka anatoa maamuzi ya haraka kwa manufaa ya wananch. Sambamba na hilo kila mwaka zitajengwa nyumba millioni moja kuendana na sera itakayotungwa kwa ajili ya jiji hilo. Nipashe siku ya leo.

Code:
mbona umeanza kututisha
 
So kutakuwa na Mkuu wa Mkoa..Meya wa Jiji na Waziri wa Jiji....hayaa bwana!
 
kila kitu tunadesa hata kujua kusoma na kuandika umedesa boya wewe

Sasa mie na wewe ambaye ata hujui umuhimu wa CCTV kuwekwa mijini nani boya?ungejiongeza kidogo tu ungejua CCTV ni jambo muhimu sana.

Kila siku tunasikia majambazi wamevamia hapa na pale, CCTV ilikuwa sehemu nzuri ya kuanzia, fungua ubongo wako.
 
Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam alhaji Ramadhani Madabida, alisema ameonesha dhamira ya kutaka kuwatumikia Watanzania na moja ya sifa za kiongozi ni kuwa mstahimilivu na kuhilimili mikikimikiki.

Aidha alimfananisha Lowassa na Mtume Muhammad kwamba ni kiongozi mvumilivu.

This is blasphemy .... mashehe mpo?
 
Sasa mie na wewe ambaye ata hujui umuhimu wa CCTV kuwekwa mijini nani boya?ungejiongeza kidogo tu ungejua CCTV ni jambo muhimu sana.

Kila siku tunasikia majambazi wamevamia hapa na pale, CCTV ilikuwa sehemu nzuri ya kuanzia, fungua ubongo wako.

Acha kukurupuka wew mim sio mshamba kama wew na sijakujib hbr ya cctv

Malizia dozi milembe kwanza
 
Back
Top Bottom