Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Acha kukurupuka wew mim sio mshamba kama wew na sijakujib hbr ya cctv

Malizia dozi milembe kwanza
ha ha ha huwa nacheka watu wanavyoparuana kwenye Jamiiforums. Humu unaweza ukawa unagombana na ndugu yako hujui kumbe
 
Mashine ya kukunja bomba za chuma inauzwa 1435509599104.jpg
 
CCM imeoza,wazee wanaotegemewa kuwa neutral na kusimamia taratibu za chama,wao wanakuja na mgombea wao badala ya kuja na sifa za mgombea
 
Hivi Kingunge anaposema hatutakubali Lowassa akikatwa yeye Na nani? Kwa hiyo pamoja Na ufisadi rushwa kuanza kampeni kabla yote tuifanye hatuoni kwa kuwa ni lowassa Mzee usitutishe
 
Mzee madabida kweli wewe ni mwislamu kweli unamfananisha lowassa Na mtume muhamadi kwa usafi gani wa lowassa mpaka afanane Na Mtume?
 
'Awamu ya kwanza YUPO! Awamu ya pili YUPO! Awamu ya tatu YUPO! Awamu ya nne YUPO!!!! Kwake msamiati wa kung'atuka haupo.' (Makongoro Nyerere) Busara yake haibadiliki, kila mara ni kutisha watu juu ya kuanguka kwa CCM. Bora CCM ibaki madarakani ata kama ni mfu. Ni kawaida ya wazee kuogopa kifo,lakini wanakufa ikibidi. Uwingi wa miaka yake kuwa 60 ndani ya CCM hautuongezei shibe wala heshima atuambie ametufanyia nini cha maana kwa manufaa ya watanzania hata kama angekua na miaka miwili. Yeye anamng'ang'ania Lowasa kwa sababu ana manufa naye bnafsi tunataka atakaye leta manufaa kwa watanzania wote
Hawatakubali yeye na nani? Hajui enzi zake zimeisha? Huyu Mzee sasa hivi hajitambui na hafuati tena misingi aliyoamini.
 
Natamani sana na wale wapambe wa watia nie wengine waje na msimamo kama huu, hii itarahisisha kazi ya kumsukuma mlevi.
 
Hahahahahahah! Kwakweli sipati picha siku jina hili likikatwa? Nadhani kesho yake tutakuwa na msiba wa kumpoteza waziri mkuu msitaafu
 
Hivi Kingunge anaposema hatutakubali Lowassa akikatwa yeye Na nani? Kwa hiyo pamoja Na ufisadi rushwa kuanza kampeni kabla yote tuifanye hatuoni kwa kuwa ni lowassa Mzee usitutishe

Mkuu Kingunge ni mwana CCM, kwa hiyo unaposema yeye ni nani ni kama unakosea. Nakubaliana na wewe kuwa kwenye kampeni ya Lowassa kuna ukiukajai wa taratibu, lakini vile vile ni vizuri tukisema ni kwanini tunaangalia tu ukiukaji wa kanuni unaofanywa na Lowassa na hatuangalii ukiukaji unaofanywa na wengine.

Top contenders karibu wote wamekiuka taratibu kwa viwango tofauti, hii ndio inawafanya watu waamini kuwa ni njama tu na chuki dhidi ya Lowassa.

Kwa maoni yangu usafi kwa sasa sio sifa kuu ya kiongozi tunayemkataka, there is way more than that. Kama suala ni usafi basi CCM yote iondolewe.
 
Lowassa kushinda ni ngumu sana sawasawa na kusubiri meli ubungo stand ili upande
 
Anasaidiwa na mizimu ya Kilwa- Kipatimu. Ushirikina mtupu.
 
CCM imeoza,wazee wanaotegemewa kuwa neutral na kusimamia taratibu za chama,wao wanakuja na mgombea wao badala ya kuja na sifa za mgombea

Mzee bado anaotea dili la kukusanya mapato Kituo cha Ubungo na anadhani Edo atamrudishia Dili hilo akipita. Hana lolote analowaza zaidi mzee huyo mwakilishi wa waganga na walozi.
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar Ramadhan Madabida siku ya Jumamosi iliyopita akitoa salamu za wanachama wa CCM mkoa wa Dar wakati wa shamrashamra za ujio wa Lowassa kusaka wadhamini katika mbio za kutaka kuteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM mwaka huu alisema, UADILIFU, UCHAPAKAZI NA KUPENDWA NA WATU WENGI KWA LOWASSA anamfananisha na Mtume Muhamad!!

Source:Gazeti la Mwananchi la Jana.

*Binafsi nimechukizwa sana na kauli hiyo, kwa kuwa ni kufuru tena ni kufuru kubwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kumfananisha na -----. Nitashangaa sana kama wanachama wa CCM mkoa wa Dar watakaa kimya kuhusu kauli chafu kama hii ikapita hivi.
 
Sasa hii laana…!!! Loh…!! Lowasa unamfananisha na Mohamed (S.W)………!!! Kweli kuna kazi mwaka huu… Fisadi na Mtume wap na wap…???
 
Duh lakini usishangae hakuanza yeye kusema hivyo mwinyi alisema mengi anafanana pia na mtume na ndio maana mungu anampa muda tu na nyerere nae ni mungu wao na butiana kwenye kaburi la nyerere ndio maka yako na plicmm ndio malaika wao laana ya Allah iwateremkie wrote wanao sema hivyo
 
kupendwa kwake na watu wengi ni mithili y'a jinsi mtume au yesu alivyokuwa akipendwa!
** siuoni ubaya acha kutengeneza chuki weye**
 
Back
Top Bottom