Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kwani dar Es salaam Ndio chanzo cha umaskini wetu??
Mkuu wa mkoa dsm, waziri dsm , meya dsm !!! Bonge la filamu

Mbona hakuna waziri wa Nairobi Na mambo yanaenda???

Sembuli Umuhimu wa Dar es salaam kwa uchumi wetu huujui?
Dar ikisonga mbele Tanzania nzima inaendelea huo ndio ukweli
 
Hiyo ni imani yako,ila ukweli unabakia pale pale kuwa lowasa hawezi kukatwa kwani kwa sasa ccm hakuna mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu,na akikatwa ndio ccm vipande vipande

Nchi hii hatuhitaji maamuzi magumu, tunataka maamuzi yenye busara na akili, maamuzi magumu akafanye kwenye familia yake na za wafuasi wake, ful stop.
 
Enzi Za Nyerere alikuwa mjamaa Safi.
Enzi Za Kikwete amekuwa fisadi mzuri.
Anajua kutumia fursa na kubadilika kutokana na mazingira.

Usidanganyike. Mwalimu alikuwa anaona mbali. Alimuelewa toka mwanzo kuwa huyu anchohubiri sicho anachoamini. Kwa elimu yake ya sekondari wakati ule mwalimu angempa nafasi kubwa sana katika serikali yake.
 
Wauza ngada wanateteana sana hawa wazee..........nadhani wanataka biashara iendelee kushamiri
 
Ni ili kurahisisha utatuzi wa matatizo lukuki ya jiji la Dar, kwamba waziri akilala akiamka anatoa maamuzi ya haraka kwa manufaa ya wananch. Sambamba na hilo kila mwaka zitajengwa nyumba millioni moja kuendana na sera itakayotungwa kwa ajili ya jiji hilo. Nipashe siku ya leo.

Ana matatizo huyu,

Waziri husimamia wizara husika katika nchi, huyu wizara yake itakuwa mkoa? Kazi ya mkuu wa mkoa na subordinates wake ni nini? Upotevu wa fedha malipo na gharama za huyo "waziri"! nani ailipe?

Leo hii Dar Es Salaam tuna mikoa mitatu(sijui ya kipolisi tu au) yaani Kinondoni, Ilala na Temeke? Huyu waziri atasimamia kote au atakuwa na "manaibu waziri watatu"?

Yaani anataka kusepa hapa Dar ndiyo Tanzania? Badala ya kufikiria ku-Decentralize mambo(wizara, huduma za kijamii) mikoani bado anafikiria kuuujaza huu mji?!

Hatufai.
 
Kwani dar Es salaam Ndio chanzo cha umaskini wetu??
Mkuu wa mkoa dsm, waziri dsm , meya dsm !!! Bonge la filamu

Mbona hakuna waziri wa Nairobi Na mambo yanaenda???

Kabla ya katiba mpya ya Kenya kulikuwa na waziri wa Nairobi,nadhan ndipo alipodesa.

Kwa sasa kuna Gavana wa Nairobi maana ni jimbo.
 
Ukawa wametega masikio yao yote ccm kuona inampitisha nani ili nao wafanye mchakato wa kumpitisha babu.
 
safisana kingunge CCM,haiwezi kumkata mtu eti kwa kigezo cha sio mwadilifu.ni nani aliye mwaminfu ccm.waliopanga kuliibia shirika la umeme kupitia escrow na kufanikisha mpaka wafadhili wakasitisha misada leo wanamshoonyeshea mkono Edo.kingunge hongera akikwatwa mtu lazima pachimbike

Dalili za unyarwanda sio utanzania
 
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahili ENL ni Rais ajaye.

Amini tusiamini,kikubwa ni kumuomba Mwenyezi Mungu
atuepushie vurugu na atupe utulivi wa akili na mawazo
mabaya juu ya Taifa letu Teule kusini mwa jangwa la Sahara.

Sawa kwa sasa tunaweza kujenga ubishi,hakika lipangwalo
na Mwenyezi Mungu ni tukufu mbele za macho ya wanadamu.

Tutashindana sana,lakini mwisho wa siku ni ile siasa ya Ujamaa
na Kujitegemea tulioipuuza kwa muda mrefu sasa inarejea.

Huko tuendako ni lazima tujifunge mkanda hakika tutafika katika
safari yetu ya matumaini.

Tulio wengi tunaamini kuwa chama kushika hatamu hakiwezekani bila ya
Ndg.Edward.Tatizo ni muda tu,lakini siku si nyingi tutasahau yote haya na
kuchapa kazi kwa bidii pasipo kutaka misaada ya wazungu.
 
Ana matatizo huyu,

Waziri husimamia wizara husika katika nchi, huyu wizara yake itakuwa mkoa? Kazi ya mkuu wa mkoa na subordinates wake ni nini? Upotevu wa fedha malipo na gharama za huyo "waziri"! nani ailipe?

Leo hii Dar Es Salaam tuna mikoa mitatu(sijui ya kipolisi tu au) yaani Kinondoni, Ilala na Temeke? Huyu waziri atasimamia kote au atakuwa na "manaibu waziri watatu"?

Yaani anataka kusepa hapa Dar ndiyo Tanzania? Badala ya kufikiria ku-Decentralize mambo(wizara, huduma za kijamii) mikoani bado anafikiria kuuujaza huu mji?!

Hatufai.

Kwani hela za ziara za rais wako anazopigia misele kila siku kwenye nchi za watu bila faida yoyote kwani nani anazilipia? ungetoka nje ya 18 kabla ya ku comment
 
Back
Top Bottom