ni kawaida kabisa hii kutokea barabarani.
Au kadada kaharibikiwe na gari, wanaojitolea kutengeneza au kusaidia au kusukuma ni wengi mno. Hadi inabidi kuwachagua kwa kura.
Duu hii inaonyesha jinsi gani ambavyo mama / Dada zetu walivyo na "nguvu", yaani jamaa kasahau kabisa kama gari yake imegongwa anawaza kutongoza
kweli sio utaniChoo kigumu kama chuma....scanner imestuka
hajatawadha, halafu alikuwa chakula chenye madini ya chuma kwa wingi, ndio maana hiyo metal detector ina detect kuwa chuma huko nyumakaweka nini matakoni
inawezekana kavaa hereni
hajatawadha, halafu alikuwa chakula chenye madini ya chuma kwa wingi, ndio maana hiyo metal detector ina detect kuwa chuma huko nyuma
hereni kwenye mshundundu???