Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
- Thread starter
- #41
Kivipi hujaeleweka badoKizungu kina heshima yake, acha kutetea ujinga
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kivipi hujaeleweka badoKizungu kina heshima yake, acha kutetea ujinga
Ipo siku utakuja kujutiaNgeli ikinipita kushoto nitapungukiwa nini?
Nitalala njaa au?
Ndo umeandika nini'Kingereza' kinatusumbua sana maana wengine ndo tumekisoma leo kwnye thread yako ila 'kiingereza' kwetu ni mwendo mdundo.
HahahaPost na majibu yanatoa picha halisi huu ya elimu ya wanachama wengi wa JF ondoa Great Thinkers. Wanaoweka Post ni za hovyohovyo hazieleweki! Wanaojibu nao ni za hovyohovyo wengine hujibu bila hata kuisoma na kuielewa Post. Hata hivyo Great Thinkers wengi walikwisha jitoa JF hapo alibaki mmoja PM naye siku hizi simuoni, labda kajificha kwao kuogopa mafua ya kupumua.
Unadhani kila mtu anayetetea kiswahili hajui kiingereza?
Great thinker lazima uwe smart na lazima pia lugha uijueKwan huwezi kuwa great thinker kama hujui kimombo?
Ili uukimbie uziHebu onyesha mfano kwa kujibu comment kwa ngeli.
Hebu andika kizungu mkuu tuanzie hapo
Umeshindwa japo kuandika comment moja tu kwa kiingereza?
Nyuzi nyingi za kingereza humu jf huwaga hazina wachangiaji kitu ambacho kinatia shaka uwezo wa wana great thinkers kwenye ishu mzima ya lugha ya kimalikia.
Na hata watakaochangia ukisoma kingereza chao unaweza ukakesha unacheka. Bado sijaelewa kama great thinkers wengi wamesoma shule za kata au hawapendi tu nyuzi zilizowasilishwa kwa kutumia ngeli?
Nenda google translation unataka ufundishwe humuHebu andika kizungu mkuu tuanzie hapo
Aya saidia tuoneUmeshindwa japo kuandika comment moja tu kwa kiingereza?
Au nikusaidie mkuu
Wewe ndo umeanzisha mada, basi onesha mfano
Wewe si umesema unataka kusaidia aya sasa kimwage tuoneWewe ndo umeanzisha mada, basi onesha mfano
Let lite European start here. Veri guud.Hebu andika kizungu mkuu tuanzie hapo
Katumie wewe hiyo google translate uandike hata comment moja mkuu.
Yes yes off kozLet lite European start here. Veri guud.