Hahahaha
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Ofukozi pipo uzidi tu dai ini ze reki au sio jamani ?***** we nyumbu umeanza kujipinga! Hata Kama mtu hajui ngeli inafaa nini Kama si kula yake..? Acha tujitapanye na kiswahili chetu kinatutosha.
Bai ze wei pipo uzidi bati noti mi! Mi uzidi tu kwichikwichi in ze leki endi noti daingi.Ofukozi pipo uzidi tu dai ini ze reki au sio jamani ?
Write in English. I don't understand Swahili.Write in english, I don't understand swahili
That is not true. His phrase is extremely erroneous.
Ngeli ikinipita kushoto nitapungukiwa nini?Swala sio intelligence wala nini swala ni kwamba wengi ngeli inawapitia kushoto kuku wewe
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
'Kingereza' kinatusumbua sana maana wengine ndo tumekisoma leo kwnye thread yako ila 'kiingereza' kwetu ni mwendo mdundo.Nyuzi nyingi za kingereza humu jf huwaga hazina wachangiaji kitu ambacho kinatia shaka uwezo wa wana great thinkers kwenye ishu mzima ya lugha ya kimalikia.
Na hata watakaochangia ukisoma kingereza chao unaweza ukakesha unacheka. Bado sijaelewa kama great thinkers wengi wamesoma shule za kata au hawapendi tu nyuzi zilizowasilishwa kwa kutumia ngeli?
Post na majibu yanatoa picha halisi huu ya elimu ya wanachama wengi wa JF ondoa Great Thinkers. Wanaoweka Post ni za hovyohovyo hazieleweki! Wanaojibu nao ni za hovyohovyo wengine hujibu bila hata kuisoma na kuielewa Post.Nyuzi nyingi za kingereza humu jf huwaga hazina wachangiaji kitu ambacho kinatia shaka uwezo wa wana great thinkers kwenye ishu mzima ya lugha ya kimalikia.
Na hata watakaochangia ukisoma kingereza chao unaweza ukakesha unacheka. Bado sijaelewa kama great thinkers wengi wamesoma shule za kata au hawapendi tu nyuzi zilizowasilishwa kwa kutumia ngeli?
Kwan huwezi kuwa great thinker kama hujui kimombo?Nyuzi nyingi za kingereza humu jf huwaga hazina wachangiaji kitu ambacho kinatia shaka uwezo wa wana great thinkers kwenye ishu mzima ya lugha ya kimalikia.
Na hata watakaochangia ukisoma kingereza chao unaweza ukakesha unacheka. Bado sijaelewa kama great thinkers wengi wamesoma shule za kata au hawapendi tu nyuzi zilizowasilishwa kwa kutumia ngeli?
Ni kweli usemacho siku hizi humu mzaha mwingi sana tofauti na miaka ile.Post na majibu yanatoa picha halisi huu ya elimu ya wanachama wengi wa JF ondoa Great Thinkers. Wanaoweka Post ni za hovyohovyo hazieleweki! Wanaojibu nao ni za hovyohovyo wengine hujibu bila hata kuisoma na kuielewa Post. Hata hivyo Great Thinkers wengi walikwisha jitoa JF hapo alibaki mmoja PM naye siku hizi simuoni, labda kajificha kwao kuogopa mafua ya kupumua.
Ningeandika kwa kingereza usingekanyaga humuKwa msisitizo ungeandika kwa kiingereza. Huwa nashangaa mnaanzisha mada kuponda kiswahili huku umeandika kiswahili.