mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,519
- 19,885
Kuna faida gani ya kuongea kingereza lakini kichwani ujinga mtupu..Swala sio intelligence wala nini suala ni kwamba wengi ngeli inawapitia kushoto.
Kuongea English sio kipimo cha uwezo wa mtu ktk kupambanua mambo.
English ni lugha kama lugha zingine zozote..