King Mswati III in Dar...

Bahati mbaya ndege haina uchawi. Ona huyo jamaa hapo aliyevaaa kivazi kama yeye ni mchawi huyo

Hapana! Huyo ni mpiga debe wao na wala siyo Mchawi. hiyo hirizi ni Mkwara tu wa kiwete
 
Hahaha...mkuu unataka kina Bilal na Membe wavae ile mishuka ya Kimaasai?

Lakini si unajua ile kitu huvaliwa pasipo chupi...sasa piga picha waheshimiwa wetu wasivae vinasa...

vinasa=chupi

Au ving'amuzi = chupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…