muhogomtamu JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 412 Reaction score 69 Jun 27, 2013 #101 Larusai Mux said: Moshi Kimenuka!,hata raia wa kawaida anajua kuwa mtoto wa mzee wa Kaya alikamatwa na madawa uchina,na yule mdosi alikuja kukamilisha mipango! Click to expand... hii inauhusiano gani na uzi unaoendelea watu wengine bwana
Larusai Mux said: Moshi Kimenuka!,hata raia wa kawaida anajua kuwa mtoto wa mzee wa Kaya alikamatwa na madawa uchina,na yule mdosi alikuja kukamilisha mipango! Click to expand... hii inauhusiano gani na uzi unaoendelea watu wengine bwana
W Walas Ba JF-Expert Member Joined Sep 6, 2012 Posts 3,393 Reaction score 1,734 Jun 28, 2013 #102 Passion Lady said: tunamkaribisha sana Click to expand... Vp nawe wamtaka nkupe numbe
Candid Scope JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 11,897 Reaction score 6,933 Jun 28, 2013 #103 Mbona pilot wake ni mzungu, hawaamini Waswazi wenzake?
L LOVI MEMBE JF-Expert Member Joined Mar 16, 2012 Posts 1,122 Reaction score 183 Jun 28, 2013 #104 wowowo
R RESCUE TANZANIA Member Joined Mar 30, 2012 Posts 56 Reaction score 8 Jun 28, 2013 #105 Larusai Mux said: Moshi Kimenuka!,hata raia wa kawaida anajua kuwa mtoto wa mzee wa Kaya alikamatwa na madawa uchina,na yule mdosi alikuja kukamilisha mipango! Click to expand... tuhabarishe mkuu kumechafukaje afu mtoto wa mkuu wa kaya yup au ndo mraji?
Larusai Mux said: Moshi Kimenuka!,hata raia wa kawaida anajua kuwa mtoto wa mzee wa Kaya alikamatwa na madawa uchina,na yule mdosi alikuja kukamilisha mipango! Click to expand... tuhabarishe mkuu kumechafukaje afu mtoto wa mkuu wa kaya yup au ndo mraji?
Kamanda Kazi JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 2,613 Reaction score 798 Jun 28, 2013 #106 wenye wake zenu wachungeni wasisogelee anga zake maana atavuta wake wengine kutoka TZ
Kimbunga Platinum Member Joined Oct 4, 2007 Posts 14,952 Reaction score 10,037 Jun 28, 2013 #107 andybird314 said: Amekuja na totoz zake Click to expand... Hii lazima: Huyu mkuu akisafiri lazima awe na totoz kadhaa na walinzi wa asili (masangoma) lukuki! Yule aliyevaa kama yeye ni mchawi wake.
andybird314 said: Amekuja na totoz zake Click to expand... Hii lazima: Huyu mkuu akisafiri lazima awe na totoz kadhaa na walinzi wa asili (masangoma) lukuki! Yule aliyevaa kama yeye ni mchawi wake.
Kimbunga Platinum Member Joined Oct 4, 2007 Posts 14,952 Reaction score 10,037 Jun 28, 2013 #108 Candid Scope said: Mbona pilot wake ni mzungu, hawaamini Waswazi wenzake? Click to expand... Bahati mbaya ndege haina uchawi. Ona huyo jamaa hapo aliyevaaa kivazi kama yeye ni mchawi huyo
Candid Scope said: Mbona pilot wake ni mzungu, hawaamini Waswazi wenzake? Click to expand... Bahati mbaya ndege haina uchawi. Ona huyo jamaa hapo aliyevaaa kivazi kama yeye ni mchawi huyo
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,844 Jun 28, 2013 Thread starter #109 Kamanda Kazi said: wenye wake zenu wachungeni wasisogelee anga zake maana atavuta wake wengine kutoka TZ Click to expand... haoi mwanamke asiye bikra... Tanzania sidhani kama wapo...
Kamanda Kazi said: wenye wake zenu wachungeni wasisogelee anga zake maana atavuta wake wengine kutoka TZ Click to expand... haoi mwanamke asiye bikra... Tanzania sidhani kama wapo...
Z zinj JF-Expert Member Joined Jan 1, 2013 Posts 1,004 Reaction score 574 Jun 28, 2013 #110 zumbemkuu said: jamaa ni pande la mtu, loh! Click to expand... Huyu Dogo mbona amekuwa haraka sana!!! Pande la miraba minne, kaa!!
zumbemkuu said: jamaa ni pande la mtu, loh! Click to expand... Huyu Dogo mbona amekuwa haraka sana!!! Pande la miraba minne, kaa!!
P Precise Pangolin JF-Expert Member Joined Jan 4, 2012 Posts 13,055 Reaction score 6,777 Jun 28, 2013 #111 kiwatengu said: haoi mwanamke asiye bikra... Tanzania sidhani kama wapo... Click to expand... Tanzania kuna mitaro na visima
kiwatengu said: haoi mwanamke asiye bikra... Tanzania sidhani kama wapo... Click to expand... Tanzania kuna mitaro na visima
Sizinga Platinum Member Joined Oct 30, 2007 Posts 9,520 Reaction score 7,294 Jun 28, 2013 #112 kiwatengu said: you want some? ogopa mtu anayelindwa kiutamaduni... Click to expand... Kma JK anavyolindwa na majini yake ikulu.
kiwatengu said: you want some? ogopa mtu anayelindwa kiutamaduni... Click to expand... Kma JK anavyolindwa na majini yake ikulu.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,844 Jun 28, 2013 Thread starter #113 mama toto said: Tanzania kuna mitaro na visima Click to expand... ooh! whats that mama toto Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,394 Jun 28, 2013 #114 kiwatengu said: aliyekuambia huyo ni mke wake ni nani? Click to expand... Huyo ni MKEWE, fatilia utalijua hilo.
kiwatengu said: aliyekuambia huyo ni mke wake ni nani? Click to expand... Huyo ni MKEWE, fatilia utalijua hilo.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,844 Jun 28, 2013 Thread starter #115 happiness win said: Huyo ni MKEWE, fatilia utalijua hilo. Click to expand... hugs..
Nyati JF-Expert Member Joined Mar 6, 2009 Posts 2,528 Reaction score 1,917 Jun 28, 2013 #116 Kimbunga said: Bahati mbaya ndege haina uchawi. Ona huyo jamaa hapo aliyevaaa kivazi kama yeye ni mchawi huyo Click to expand... Hapana! Huyo ni mpiga debe wao na wala siyo Mchawi. hiyo hirizi ni Mkwara tu wa kiwete
Kimbunga said: Bahati mbaya ndege haina uchawi. Ona huyo jamaa hapo aliyevaaa kivazi kama yeye ni mchawi huyo Click to expand... Hapana! Huyo ni mpiga debe wao na wala siyo Mchawi. hiyo hirizi ni Mkwara tu wa kiwete
kashesho JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 4,974 Reaction score 2,492 Jun 28, 2013 #117 Kivumah said: Huyo hapo Click to expand... nilijua anakuja nao wote
Mwana kinyonga JF-Expert Member Joined Sep 19, 2011 Posts 377 Reaction score 226 Jun 28, 2013 #118 watu8 said: Hahaha...mkuu unataka kina Bilal na Membe wavae ile mishuka ya Kimaasai? Lakini si unajua ile kitu huvaliwa pasipo chupi...sasa piga picha waheshimiwa wetu wasivae vinasa... vinasa=chupi Click to expand... Au ving'amuzi = chupi.
watu8 said: Hahaha...mkuu unataka kina Bilal na Membe wavae ile mishuka ya Kimaasai? Lakini si unajua ile kitu huvaliwa pasipo chupi...sasa piga picha waheshimiwa wetu wasivae vinasa... vinasa=chupi Click to expand... Au ving'amuzi = chupi.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,309 Reaction score 17,844 Jun 28, 2013 Thread starter #119 Nyati said: Hapana! Huyo ni mpiga debe wao na wala siyo Mchawi. hiyo hirizi ni Mkwara tu wa kiwete Click to expand... bodyguard bana
Nyati said: Hapana! Huyo ni mpiga debe wao na wala siyo Mchawi. hiyo hirizi ni Mkwara tu wa kiwete Click to expand... bodyguard bana
Bramo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 13,230 Reaction score 10,201 Jun 28, 2013 #120 kiwatengu said: Mkuu unauhakika na hili? Click to expand... Mkuu kwa Uhakika zaid Fuatilia Huu uzi hapa chini https://www.jamiiforums.com/interna...-and-a-heavy-fine-if-they-break-new-laws.html
kiwatengu said: Mkuu unauhakika na hili? Click to expand... Mkuu kwa Uhakika zaid Fuatilia Huu uzi hapa chini https://www.jamiiforums.com/interna...-and-a-heavy-fine-if-they-break-new-laws.html