Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Kuna masuala mazito na magumu ya Kitaifa. Hayapaswi kuzungumziwa na mtu wa wadhifa wa Makamba. Alifaa (kwa CCM) wakati wa kampeni zao, lakini sasa inabidi watu more authoritative and competent kuanza kuzungumzia haya.
Binafsi sijui ni kwa kiasi gani JM anazungumza kwa niaba ya uongozi wa chama au kampeni za Magufuli. Maana pia wakati mwingine amezungumza kama Naibu Waziri wa Mawasiliano...
Binafsi sijui ni kwa kiasi gani JM anazungumza kwa niaba ya uongozi wa chama au kampeni za Magufuli. Maana pia wakati mwingine amezungumza kama Naibu Waziri wa Mawasiliano...