suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
Mzee Mwanakijiji sa ivi roho kwatu! Siasa za bongo bado sana labda tubadili katiba.
Katiba ndio hiyo imechajachuliwa labda tudai katiba kwa machafuko ndio kitaeleweka.
Mzee Mwanakijiji sa ivi roho kwatu! Siasa za bongo bado sana labda tubadili katiba.
Mwanakijji umeanza unafiki.....unang'ata na kupuliza wakati hujapiga kura.
Kuna masuala mazito na magumu ya Kitaifa. Hayapaswi kuzungumziwa na mtu wa wadhifa wa Makamba. Alifaa (kwa CCM) wakati wa kampeni zao, lakini sasa inabidi watu more authoritative and competent kuanza kuzungumzia haya.
Binafsi sijui ni kwa kiasi gani JM anazungumza kwa niaba ya uongozi wa chama au kampeni za Magufuli. Maana pia wakati mwingine amezungumza kama Naibu Waziri wa Mawasiliano...