Mzee mliona sisi wajinga ,tulioamua kutumia silaha yoyote kumpiga adui. Huu uchafu hauwezi kutoka kirahisi kwa sababu kuna watu hawawezi kuishi bila kuwa viongozi! CCM NI SHIDA,WATANZANIA NI SHIDA
Sidhani kama Katibu mkuu anahitajika ktk hili. Kumbuka ukawa hawana katibu mkuu.
Mwanakijiji anajikosha
Ni kweli huyu Januari Makamba ni janga. Siajaelewa huyu bwana mdogo anaongea kama nani hasa? Je, ni kama Campaign Manager wa Magufuli, Naibu Waziri wa Mawasiliano au Mbunge mteule wa Bumbuli au msemaji wa CCM?
Wako wapi watu wazito ndani ya CCM kina Kinana, Mangula au Vuvuzela wao a.k.a Nepi Nauye? CCM inaonekana hamjitambui, hamjielewi, mmelewa madaraka na kwa kweli mnahitaji ushauri nasaha! Bila hivo hii nchi mnataka kuitumbukiza kwenye janga la kitaifa!
He is trying to stay relevant after huu uchaguzi
He is trying to stay relevant after huu uchaguzi
MMM naona roho yako imetulia sasa... Binafsi naona turudi kwenye siasa za chama kimoja tu, Huu unaoendelea sasa ni unafiki