rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,204
- 20,185
Huyu ndio wanamwita mwalimu wa siasa labda mwalimu wa propagandaUrais wake wa kikatiba..hakuna sehemu baada ya jpm kufariki aliingia barabarani kuomba kura kwa wanachi ili awe rais wa nchi hii...kinana acha upotoshaji kwanza wewe zi uliandika barua ya kustaafu siasa kutokana na umri kilicho kurudisha kwenye siasa ni nini.?kama sio u.. wako.
#MaendeleoHayanaChama