SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Ndg Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa wananchi waliojitokeza kumlaki Mkata, wilayani Handeni leo, Jukapili 24 Aprili, 2022 alipowasili mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa minne.
#ChamaImara
#KaziIendelee
#ChamaImara
#KaziIendelee