Kishindo mapokezi ya Kinana jijini Arusha

Kishindo mapokezi ya Kinana jijini Arusha

SautiYaMnyonge

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2018
Posts
439
Reaction score
742
Na Mwandishi Wetu,
Arusha.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Arusha na kupokelewa kwa kishindo katika ziara ya kikazi yenye lengo la kuangalia uhai wa Chama.

Akizungumza mbele ya wana CCM Mkoa wa Arusha Kinana amewashukuru kwa mapokezi makubwa na mazuri waliyompatia.

“Nawapenda sana, baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM nimeona nifanye amsha amsha kidogo, nimeanza ziara Mkoa wa Pwani, Tanga, Kilimanjaro na leo nimeingia hapa Arusha, nasema nimetia nanga na mengine tutazungumza kesho kwenye kikao kazi. Nawashukuru sana.”

IMG-20220426-WA0108.jpg
IMG-20220426-WA0105.jpg
IMG-20220426-WA0106.jpg
IMG-20220426-WA0107.jpg
IMG-20220426-WA0103.jpg
IMG-20220426-WA0104.jpg
 
Dah, nikiangalia jinsi hiyo ofisi ndogo tu inavyoipita ile kuu ya jamaa wa drama nabaki kusema tu kuwa kwa hapa bongo bado saaaana hawa jamaa kufikiwa
 
Dah, nikiangalia jinsi hiyo ofisi ndogo tu inavyoipita ile kuu ya jamaa wa drama nabaki kusema tu kuwa kwa hapa bongo bado saaaana hawa jamaa kufikiwa
CAG anasema MaCCM ni MAJIZI. Mkapa anasema mihela ya EPA Imejenga CCM.
Kijana hovyo akili yako haina akili, kabisa kabisa.
 
Sukuma Gang wakimsikia Kinana mafi yanagonga gonga vyupi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dah, nikiangalia jinsi hiyo ofisi ndogo tu inavyoipita ile kuu ya jamaa wa drama nabaki kusema tu kuwa kwa hapa bongo bado saaaana hawa jamaa kufikiwa

Hizo ofisi zio za CCM walipora kutoka kwa Wananchi baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza. Kila mwananchi alichangia ujenzi wa hizi ofisi, ilitakiwa ziwe Mali ya umma, CCM ianze kujenga za kwake.
 
Nimeyaona magari yao yanakimbia kama vichaa hayafati usalama barabarani ujinga tu
 
Back
Top Bottom