Juli nyerere pia alikuwa anaenda kutibiwa uingereza wakati sisi tunatibiwa mwananyamala na amana.Hivi hawa watu wanamnyenyekea kinana yupo Dubai anatibiwa wakati bibi yako umeshindwa kumlipia kitanda tu muhimbili kwasababu ya ufisadi wa hakina hao hao kina kinana Leo anakula kuku huku akitibiwa wewe bado unajipendekeza. Kwanini kama kweli wana uruma wasitibiwe hapa hapa? Wacheni ujinga wa fikra ndugu zetu wamelazwa chini muhimbili dawa hakuna then hao hao wanatudanganya wenyewe wana ma' Docter wao njee kwa kodi zetu kweli tumelogwa wa TZ
we mwaka mzima anazurura unadhani kazi ndogo?Taarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba..
Abrahman kinana amelazwa hapa hispitali ya rashidia hapa dubai...
Hali yake sio nzuri sana.....
Juli nyerere pia alikuwa anaenda kutibiwa uingereza wakati sisi tunatibiwa mwananyamala na amana.
I know that some of you wish we would all suffer from collective amnesia so that you can twist the history and say juli died at muhimbili hospital.
Juli died in London.
Ndiyo mnavyojidanganya hivyo. Eti nyerere hauwahi kulazwa hospital yoyote.Wewe ni mwongo mkubwa. Julius Nyerere hakuwa anatibiwa Uingereza, na hakuwahi kulazwa hospitali yoyote ile iwe ndani ya nchi au nje ya nchi ukiacha huo ugonjwa uliochukua maisha yake. Ukumbuke pia hata kwenye ugonjwa huo uliochukua maisha yake, Nyerere alikuwa hataki kabisa kwenda Uingereza, jambo lililowafanya viongozi kadhaa kumsihi na kumbembeleza sana ili akubali. Waulize wote waliokuwa karibu naye watakuambia namna Mwalimu ambavyo hakuridhika kabisa na uamuzi wa serikali wa kumpeleka Uingereza.
Nyerere hakuwa kama akina Kikwete ambao kila wakipata mafua tu wanaenda USA.
Taarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba..
Abrahman kinana amelazwa hapa hispitali ya rashidia hapa dubai...
Hali yake sio nzuri sana.....
Get well soon jembe letu Kinana
Get well soon jembe letu Kinana
mungu ampe AFya njema mzee kinana mpole na ndiyo mwenye bussra na wala pombe hanywi.