tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 447
Mkuu nimepata taarifa kuwa,kwa sasa tembo wanaozaliwa hawaoti menoHabari nzuri kwa tembo wetu labda ujangili utapungua
nasikia wizara inataka kufanya utafiti ni kwa nini,cc wanamaombi tunasema Mungu amesikia kilio akaingilia kati
Hivyo hakuna haja ya utafiti.