Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 305
Pole yake. Mungu yupo na yeye.
Taarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba..
Abrahman kinana amelazwa hapa hispitali ya rashidia hapa dubai...
Hali yake sio nzuri sana.....
vijana wa buku 7 mnaona mabosi wenu wakiugua wanataibiwa wapi?nyie mwananyamala hospital.Huyo ndiye mzalendoTaarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba..
Abrahman kinana amelazwa hapa hispitali ya rashidia hapa dubai...
Hali yake sio nzuri sana.....
vijana wa buku 7 mnaona mabosi wenu wakiugua wanataibiwa wapi?nyie mwananyamala hospital.Huyo ndiye mzalendo
Dah! Mmemshambulia sana Kinana... Ukiwalinganisha yeye na viongozi wenzake wa CCM Kinana anuafadhali mkubwa sana: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! Kinana si mtu wa kujikweza hata siku moja, Kina ni hodari sana mchapakazi asiechoka hata kidogo, Kinana ameiokoa CCM isigeuke kuwa kikundi cha mauaji baada ya kuwadhibiti akina Nchemba na Wasira! Kinana amefanikiwa sana kutuliza makundi ndani ya CCM ...otherwise sasa hivi ingekuwa zogo kubwa sana ... Pamoja na Reservations zangu, NAMTAKIA Kinana Afya Njema apone haraka ...
Taarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba..
Abrahman kinana amelazwa hapa hispitali ya rashidia hapa dubai...
Hali yake sio nzuri sana.....
We mtu hispital ndiyo nini?
comments za humu ndani daah mimi hoi...