EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Kwa taarifa yako, kijana aliyemuibia anaitwa peter daud, na anashikiliwa na polisi kituo cha mabatini leo ni siku ya sita hajafunguliwa kesi wala kupelekwa mahakani.yaani anabanwa pu.bu tu ili atoe pesa mambo yaishe kimya kimya.sasa uzushi uko wapi?
Inaonekana as if unajua kinachoendelea.
Kwa nini mtuhumiwa yuko ndani siku sita bila kupelekwa mahakamani?
Unaposema kuwa anabanwa pu*bu, una maana kweli wanam-torture sehemu nyeti?