Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,788
- 4,245
Kwa anayejua kilo moja ya meno ya tembo ni $ ngapi atuambie ili tujue $ elfu 60 ni wastani wa meno mangapi-tembo wangapi!!!!
una internet access.....tafuta kiwango cha dola 1 kwa tsh halafu zidisha mara 60,000 utapata jibu....huna sababu ya kufungua thread kujua ni tsh....kwa kukadiria kwangu bila calculator wala nini its around tsh 96,000,000
huu ni uzandiki mkubwa sana. hizi ni hujuma zinazofanywa kwa makusudi na wana chadema. sasa naanza kukubaliana na zile makala za kibanda juu ya tishio la kinana kwa uhai wa chadema. najua haya yanafanyika kwa makusudi ili kuchafua taswira yake katika jamii. lakini hawataweza
Mkuu uwe hatarini mara ya ngapi!? hujamuona tembo alivyochomolewa kichwa..!!!???
Kwa anayejua kilo moja ya meno ya tembo ni $ ngapi atuambie ili tujue $ elfu 60 ni wastani wa meno mangapi-tembo wangapi!!!!
Mtu akiibiwa tunampa pole, na hatujasema kuwa yeye ndo kaiba, ila yeye ndo kaibiwa, na dogo yuko ndani mpaka saa hii. sasa hujuma ziko wapi hapo. piga cm kituo cha mabatini upate uhakika wa habari kaka acha kutoa povu bila sababu
huu ni uzandiki mkubwa sana. hizi ni hujuma zinazofanywa kwa makusudi na wana chadema. sasa naanza kukubaliana na zile makala za kibanda juu ya tishio la kinana kwa uhai wa chadema. najua haya yanafanyika kwa makusudi ili kuchafua taswira yake katika jamii. lakini hawataweza
halafu kuna kitu nimebaini katika thread hii. siiamini mpaka mleta uzi atakapoleta ufafanuzi wa haya yafuatayo
kama hatutapata ufafanuzi juu ya mambo hayo mawili basi hakuna haja ya uzi huu kuendelea kuwepo maana malengo yake ni kupotosha.
- huyu kinana ni yupi, maana akina kinana ni wengi
- wachangiaji wengi wametoa michango yao kwa kumlenga abdulrahmani kinana, katibu mkuu wa ccm, je mleta uzi, kuna connection yoyote kati ya kinana aliyeibiwa na huyu tumjuaye, katibu mkuu wa ccm?
pia kwa jinsi wengi wanavyochangia uzi huu inajidhihirisha ni jinsi gani uwezo wao wa kufikiri ulivyo mdogo. si ma great thinkers tena bali ni vilaza wa kutupa. mtu anayechangia kwa kufikiri huwezi kukurupuka tu ukaanza kuchangia kitu ambacho hukijui
Kwa anayejua kilo moja ya meno ya tembo ni $ ngapi atuambie ili tujue $ elfu 60 ni wastani wa meno mangapi-tembo wangapi!!!!
Acha kutoka pozi, Akina Kinana walio Somalia hawahusiani na hili....huyu ni KINANA wa Tembo