Kwendaaa punguani weweWanaoishi na propaganda za Magufuli ni wapumbavu wachache wasiojielewa, yani mazezeta fulani hivi, watu wenye akili timamu tupo na mama na tunamuelewa.
Sent from my SOV42 using JamiiForums mobile app
Kwendaaa punguani weweWanaoishi na propaganda za Magufuli ni wapumbavu wachache wasiojielewa, yani mazezeta fulani hivi, watu wenye akili timamu tupo na mama na tunamuelewa.
Toto jijnga saana hili usilazimishe mtu afikiri ujachofikiriHuyo magufuri wako anakubalika na wajinga na wenye uwezo mdogo wa kufikili.
Kwa bahat mbaya nchi hii bado ina wajinga wengi....
Liislamu kungwi kabisa hilo, lakini sababu ni linufaika la utawala wa awamu hii ya 6, linajitoa ufahamu kujifanya ni likristo kumbe bonge la bogus tu [emoji851]Peleka huko upuuzi wako mdini wewe
Childish edition of pictures, mpumbavu kama wewe huamini huo ujinga lakini mwenye hekima hawezi kuamini huo upuuzi kamwe!
SSH ni mtoto wa mwinyi, wanafanana kwa kutokuwa na msimamo. Mwinyi aliitwa mzee ruksa kwa sababu hiyo,na huyu binti yake ni rais lakini hajui anapoenda na kuipeleka nchi. Ana misukumo ya kimapenzi na inamuyumbisha.Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Mbuga ziko Tanzania wanaokuja kutalii wako wapi ndugu. Au ulitaka awalenge Tanzania kwenye hiyo royal tour. SIJUI BWANA unavyofikiri.Rubbish kabisa, kama angedhibiti mfumuko wa bei na kusikiliza shida za wananchi nani angemlaumu? mbuga zipo Tanzania wewe unaenda kuzindulia Royal tour Marekani how?
Bahati mbaya hutumii Jina lako halisi. Ungekuwa unatumia jina lako halisi ungepewa Wilaya. Nijibu kuhusu haya maswali nitayokuuliza.Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Great Thinker [emoji106]Wewe ni mpumbavu kuwahi kutokea. Pengine umetawaliwa na udini. Unamsifia Mwinyi aliifungua nchi,wakati mpaka Mwinyi anaondoka nchi haikopesheki,Mkapa alichukua maamuzi magumu ya kulipa madeni, mpaka tukaaminika.
Mkapa amejenga msingi wa uchumi kupitia Gavana Dr. Daud Balali.
Na wataalam wa uchumi wanakuambia Kikwete alitengenezewa plan ya kuukuza uchumi kuwa mkubwa mno kama isingekuwa mtandao wake uliomgharimu kupitia Epa na kondoo w kafara akawa Gavana Balali.
Huwezi kumlinganisha Mwinyi na Nyerere ni sawa na kilinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu kama alivyowahi kukiri Mwinyi mwenyewe.
Alichofanya Mwinyi ni kuturudisha kuwa taifa tegemezi kwa kushindwa kuvisaidia viwanda vingi vilivyojengwa na Mwalimu Nyerere.
Mpaka Mwalimu anang'atuka kiwanda Cha Saab Scania kilichoko Kibaha kilikuwa kina kiwango sawa na kiwanda kama hicho Brazil. Leo Brazil anaunda scania kwa 95% na hiyo 5% ndio anaagiza Sweden.
Kumbuka Mwalimu aliacha kiwanda cha matairi Arusha General Tyre leo kiko wapi. Kuna matairi yanatengenezwa Tanzania?
Hao kina Samia, Mkapa,Kikwete na kina Magufuli Nyerere kawasomesha bure mpaka chuo kikuu.
Namuunga Mkono Askofu Gwajima aliyesema tuwe na maono ya kitaifa.
Kama marais wote waliopita wangehakikisha viwanda na mipango ya awamu ya kwanza ni ajenda yao,Leo bwawa la Nyerere lingekuwa linazalisha umeme wa uhakika.
Itakuwa umesimuliwa wewe, mfumo wa kilo 5 ulikuwa Kati ya 7500 na 8500/ that means kilo 1 sh 1500-1700.Alikuta sukari 2,000 amekufa akaicha 2,600, simpendi lakini kwenye mfumuko wa bei alidhibiti sn
SSH ni mtoto wa mwinyi, wanafanana kwa kutokuwa na msimamo. Mwinyi aliitwa mzee ruksa kwa sababu hiyo,na huyu binti yake ni rais lakini hajui anapoenda na kuipeleka nchi. Ana misukumo ya kimapenzi na inamuyumbisha.
Dah, kwakweli.....chuki zimewatia giza na kufunga kabisa akili zao!Hawezi kukuelewa huyu jamaa, muache aamini anachoona ni sahihi kwake.
Unaoneka huelewi chochote kuhusu loyal tour!Rubbish kabisa, kama angedhibiti mfumuko wa bei na kusikiliza shida za wananchi nani angemlaumu? mbuga zipo Tanzania wewe unaenda kuzindulia Royal tour Marekani how?
Vijana inabidi mjitahidi kuijua nchi yenu ilipitaje pitaje. Alichosema mtoa mada ni sahihi kabisa. Nchi ilikuwa imekwisha Hadi Nyerere anaondoka na infact, ndio sababu akaondoka maana sera zake na uchumi wake ulifeli miserably. Na ukitaka kuthibitisha hilo, ni paper iliyowasilishwa Bungeni na Mzee Marehemu Amir Jamal mwaka 1985 (Economic Recovery Program). Unadhani kwanini ilibidi mpaka pawepo na mpango wa kunusuru/kuokoa uchumi? Ni kwasababu uchumi ulikufa kabisa. Nchi haikuwa na uwezo wa kuzalisha wala kuagiza bidhaa nje. Uzalishaji wa kilimo ulififia kabisaa. Uzalishaji wa viwandani ulishaanza kufa ikiwa ni impacts ya kuwanyang'anya (nationalization) viwanda wahindi waliokuwa wanaviendesha na kuchukuliwa na serikali ambayo haikuwa na uwezo wa kuviendesha. Lakini pia alikuwa akifanya sera za ubabe kuuzuia vipuri kutoka nje na badala yake kulazimisha vitengengenzwe ndani huku kuliwa hakuna uwezo. Mtabisha sana watanzania lakini huo ndio ukweli. Nyerere alifanikiwa kwenye kuwaunganisha watanzania na kuwajengea Elimu ya uoga lakini kwenye uchumi, ndio chanzo cha matatizo yote haya.Wewe ni mpumbavu kuwahi kutokea. Pengine umetawaliwa na udini. Unamsifia Mwinyi aliifungua nchi,wakati mpaka Mwinyi anaondoka nchi haikopesheki,Mkapa alichukua maamuzi magumu ya kulipa madeni, mpaka tukaaminika.
Mkapa amejenga msingi wa uchumi kupitia Gavana Dr. Daud Balali.
Na wataalam wa uchumi wanakuambia Kikwete alitengenezewa plan ya kuukuza uchumi kuwa mkubwa mno kama isingekuwa mtandao wake uliomgharimu kupitia Epa na kondoo w kafara akawa Gavana Balali.
Huwezi kumlinganisha Mwinyi na Nyerere ni sawa na kilinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu kama alivyowahi kukiri Mwinyi mwenyewe.
Alichofanya Mwinyi ni kuturudisha kuwa taifa tegemezi kwa kushindwa kuvisaidia viwanda vingi vilivyojengwa na Mwalimu Nyerere.
Mpaka Mwalimu anang'atuka kiwanda Cha Saab Scania kilichoko Kibaha kilikuwa kina kiwango sawa na kiwanda kama hicho Brazil. Leo Brazil anaunda scania kwa 95% na hiyo 5% ndio anaagiza Sweden.
Kumbuka Mwalimu aliacha kiwanda cha matairi Arusha General Tyre leo kiko wapi. Kuna matairi yanatengenezwa Tanzania?
Hao kina Samia, Mkapa,Kikwete na kina Magufuli Nyerere kawasomesha bure mpaka chuo kikuu.
Namuunga Mkono Askofu Gwajima aliyesema tuwe na maono ya kitaifa.
Kama marais wote waliopita wangehakikisha viwanda na mipango ya awamu ya kwanza ni ajenda yao,Leo bwawa la Nyerere lingekuwa linazalisha umeme wa uhakika.
We haya mambo umeyatoa wapi? Mbona unapotosha umma?Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Azindulie Royal Tour Ngorongoro? Ili pofu na nyumbu waitazame??Rubbish kabisa, kama angedhibiti mfumuko wa bei na kusikiliza shida za wananchi nani angemlaumu? mbuga zipo Tanzania wewe unaenda kuzindulia Royal tour Marekani how?
Watu wenye akili timamu wenye kusema uchumi umeshuka kwa mpango wa MUNGU.Wanaoishi na propaganda za Magufuli ni wapumbavu wachache wasiojielewa, yani mazezeta fulani hivi, watu wenye akili timamu tupo na mama na tunamuelewa.
Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?