greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,321
- 3,956
Ngoja afe ataimbwaMkuu unadhani kwanin Mwinyi haimbwi kama anavyoimbwa Mkapa na Nyerere?
Ngoja afe ataimbwaMkuu unadhani kwanin Mwinyi haimbwi kama anavyoimbwa Mkapa na Nyerere?
Na ww ukiwemoHuyo magufuri wako anakubalika na wajinga na wenye uwezo mdogo wa kufikili.
Kwa bahat mbaya nchi hii bado ina wajinga wengi....
Ngoja afe ataimbwa
... bila kujali uvyama au itikadi zetu.Wanaoishi na propaganda za Magufuli ni wapumbavu wachache wasiojielewa, yani mazezeta fulani hivi, watu wenye akili timamu tupo na mama na tunamuelewa.
Sasa kwanini kama amefungua nchi na kuruhusu kufanyika biashara(ikiwa una maana wenye nguo za viraka wanapata au walipata hafueni) kunasaidia wanyonge, halafu hapa chini....Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Waje wambeze kwa umahiri wake wa hayo ya kufungua, kufanya biashara n.k...Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu
mmmh?(hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka
Uzandiki wa hali ya juu!propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Hiyo kuinunua Jf ni kama hongo ili upate uchangiaji positive au ili isiendelee kukukosoa au lengo ni lipi.Ila utawala wa Mwinyi,Kikwete na Samia ni ambazo zinakuwa na kufanana katika, mambo yahusuyo haki , democrasia na mtazamo wa kiuchumi unao zingatia uhalisia wa mwendo wa Dunia,licha ya mapungufu yasababishwayo na wale wanaodai Kwa mfano,Mama karuhusu kula kulingana na urefu wa kamba ya mtu.Yote hayo ikiwa ni upotoshaji wa wapigaji wanaojaribu kuhalaliasha uovu wao.Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Sasa kwanini kama amefungua nchi na kuruhusu kufanyika biashara(ikiwa una maana wenye nguo za viraka wanapata au walipata hafueni) kunasaidia wanyonge, halafu hapa chini....Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Waje wambeze kwa umahiri wake wa hayo ya kufungua, kufanya biashara n.k... sielewei!Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu
mmmh?(hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka
Na watoto bado wanasoma chini ya miti(irrelevant)propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Ana mapungufu umeyaona?Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Una hofu ya nini? Keshafungua nchi?Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Uzandiki wa hali ya juu!Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Lala ww dada haya mambo huyaweziWewe hujawahi tembelea hata mbuga Moja unataka akuzindilie wewe
Nyama ya ng'ombe nayo inatoka Urusi? alzeti Singida imekuwa Urusi?Mkuu mfumuko wa bei ni issue ya dunia nzima kuanzia kwa world factory China [emoji630] hadi huku kwetu Tanzania
Suala la mbuga kutangaziwa USA [emoji631] nadhani hatutakiwi kujadili kama tutakuwa serious na matumizi ya vichwa vyetu
Ahsante kwa kuchangia
Hakuna kitu kama hicho, ujenge nyumba Arusha ukazindulie Dubai?Biashara ni matangazo, huko Marekani ndipo penye soko la watalii.
Kwa uerevu wako, na uwezo wako wa "kufikili" una bahati nzuri kuwa kwenye nchi ya 'Wabongo' vinginevyo nheee!Huyo magufuri wako anakubalika na wajinga na wenye uwezo mdogo wa kufikili.
Kwa bahat mbaya nchi hii bado ina wajinga wengi....
Jiwe alipandisha bei ya sukari kutoka 1500 hadi 3500 over night...Rubbish kabisa, kama angedhibiti mfumuko wa bei na kusikiliza shida za wananchi nani angemlaumu? mbuga zipo Tanzania wewe unaenda kuzindulia Royal tour Marekani how?
Kama shida ni Barabara ipo inayoitwa Ally Hassan Mwinyi (Old Bagamoyo Road). Acha porojo!Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k
Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.
Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.
Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwingi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.
Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakin bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.
Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.
Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia
Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau ?
Alikuta sukari 2,000 amekufa akaicha 2,600, simpendi lakini kwenye mfumuko wa bei alidhibiti snJiwe alipandisha bei ya sukari kutoka 1500 hadi 3500 over night...
Na hakukuwa hata na vita ya kunguru
Tulia hivyo hivyoKo hadi suala la mafuta tujadili ? Mi nadhan nikuache hapa
Jiwe huyo hapo, mungu amrehemu sana, walau alikuwa anaonyesha wananchi kuwa anajaribu. Samia yeye anachochea wafanyabiashara wapandishe bei.
Mhhhh bwashee,hata almasi,dhahabu,gesi vipo hapa nyumbani lakini walaji wapo ulaya na Amerika,lazima tupeleke huko,sie tuna rasilimali tu,madini,mafuta,gesi,mbuga,lakini hatuwezi kuzifanya fedha hapa nyumbani ni mpaka twende tukauze kwa wenye akili ulaya na USRubbish kabisa, kama angedhibiti mfumuko wa bei na kusikiliza shida za wananchi nani angemlaumu? mbuga zipo Tanzania wewe unaenda kuzindulia Royal tour Marekani how?