Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,077
- 173,783
We nawe afande kula kula nini😂 safari za frijini na jikoni hazikauki,😂😂😂Hii comment Jamani
We nawe afande kula kula nini😂 safari za frijini na jikoni hazikauki,😂😂😂Hii comment Jamani
😂😂Acha tuWe nawe afande kula kula nini😂 safari za frijini na jikoni hazikauki
Ndio mzur hamna kutupa vyakulaTabia.
Kwasababu hakuna kibonge asie penda kulakula.
I mean tabia ya mtu ndio hutoa na muonekano wake.
Kwa mtazamo huu, kuna watakaopata wapenzi na wengine wataendelea kuwa singoIpo hivi...
binadamu wote jinsi tulivyoumbwa ..
ili tuweze kuzaliana ni lazima kujamiiana na hapo ndipo unavutiwa na jinsia tofauti....
Kitu cha kwanza watu huangalia muonekano /mvuto kisha tabia ndio itafuata
Hakuna mtu anayevutiwa "kimapenzi" na mtu kwa sababu tu ya "tabia" ni lazima kuna vitu alivutiwa navyo physically kwanza ndio ukaanza kuwa interested na kumchunguza tabia huyo mtu..
Umesomeka kunguru
haha Kwa hiyo na wew umenidharau ?Teh wewe ndiyo haujui! Hilo neno bora akutamkie mwanaume mwenzako akikutamkia mwanamke ujue kakudharau!
Nachojua tabia hubadilikaWee ulisikia wapi??
Hiyo ni moja.. uvivu inafata hapo nyuma..kwa vibonge 🤣😂Ndio mzur hamna kutupa vyakula
sure wengi wanavutiwa na muonekano,from no where huwezi judge mtu kitabia kama humjui.Muonekano ndio unanivutia kwanza, lakini nkishakula mbususu naangalia tabia.