Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,189
- 39,954
- Thread starter
- #21
Mshika mawili moja humponyokaYote.
Mshika mawili moja humponyokaYote.
YaNi Mimi huwa nashangaa mtu kamaliza kula, dakka 20 nyingi akiona hata miwa anataman kula 😂😂😁Kuna dada mmoja kibonge huwa ananifurahisha sana eti kanunua vifaa vya mazoezi na mipango mingi ya mazoezi lakini ukitazama kula yake yaani hata afanye mazoezi miaka buku hatakaa apungue yaani hali chakula kingi lakini anakulakula kila dakika yaani ni kulakula wa dunia nyingine
😂😂😂Unawakilisha wale wanaotelekezaikiwa mnato huwa navutiwa zaidi, naongea ukweli sitaki kuwa mnafiki kama hao wengine
Ukaamua uniseme bwana🤣Kama nakuona vile 😂😂😂
,😂😂😂Hii comment JamaniKuna dada mmoja kibonge huwa ananifurahisha sana eti kanunua vifaa vya mazoezi na mipango mingi ya mazoezi lakini ukitazama kula yake yaani hata afanye mazoezi miaka buku hatakaa apungue yaani hali chakula kingi lakini anakulakula kila dakika yaani ni kulakula wa dunia nyingine
Halaf n kweli, bas major kwangu n mwonekano.Mshika mawili moja humponyoka
Naangalia matakoKumekuwa na tabia ya kubaguana katika kutafuta wapenzi; wapo wanaosema wanataka wapenzi wao mara wawe weusi, weupe, warefu, wanene, wenye chura, macho goroli, kiuno nyugwi, aliyejazia kifua n.k Bila kujua huyo muhusika hakuomba kuzaliwa jinsi alivyo, sasa hii tabia ya kukosoa uumbaji kwa kujitangazia sifa zako za kumtaka umpendaye, hujui hunapingana na uumbaji? Na hii inapelekea watu wengi kuwa singo mpaka uzeeni. Wengine wanaenda mbali mpaka kufanya upasuaji au maboresho ya maumbile yao. Sasa wewe kinachokuvutia ni muonekano au tabia ya mtu?
Kwa mara ya kwanza kinachokuvutia kwa mwenzako ni kipi?
Yaani mi namsikilizaga tu mipango mingi lakini mwambie apunguze kulakula hapo anaanza kununa 😂😂😂YaNi Mimi huwa nashangaa mtu kamaliza kula, dakka 20 nyingi akiona hata miwa anataman kula 😂😂😁
Jibu ni moja tu, ni ngumu kudumu na binti mwenye tabia mbaya.Mkuu kulikuwa na Halle Berry wa Bongo lakini yule wa Hollywood hamgusi hata chembe. Yule binti wa kipare alinipenda sana lakini tabia yake sasa!!! Wakati bado nadebate kichwani nisuke au ninyoe kuna siku akashushwa na jamaa mmoja jijini Dar kutoka Lunch. Huyo jamaa aliitwa kumba kumba na aliwapitia wadada wazuri wengi sana wa Dar na kulikuwa na tetesi jamaa ni muathirika. Basi siku ile niliweza kufanya maamuzi muafaka. Yes muonekano unaweza ukakuvuta lakini je, ukigundua tabia ni mbovu utaendelea KUPENDA!?
Tabia kwanza ingawa inawezakuchukua muda kuifahamuMkuu kulikuwa na Halle Berry wa Bongo lakini yule wa Hollywood hamgusi hata chembe. Yule binti wa kipare alinipenda sana lakini tabia yake sasa!!! Wakati bado nadebate kichwani nisuke au ninyoe kuna siku akashushwa na jamaa mmoja jijini Dar kutoka Lunch. Huyo jamaa aliitwa kumba kumba na aliwapitia wadada wazuri wengi sana wa Dar na kulikuwa na tetesi jamaa ni muathirika. Basi siku ile niliweza kufanya maamuzi muafaka. Yes muonekano unaweza ukakuvuta lakini je, ukigundua tabia ni mbovu utaendelea KUPENDA!?
Mim pia nina muonekano mzur a.k.a handsome boy. nakuaje mtumwa tena? Wakat naweza kumuapproach mtt mwingine yoyote mkali yaan world class na asichomoe..Inabidi uwe tayari kuwa mtumwa wa mapenzi
Tabia kwanza ingawa inawezakuchukua muda kuifahamu
ha ha ha yanafilisiNaangalia matako
Lazima kujikubaliMim pia nina muonekano mzur a.k.a handsome boy. nakuaje mtumwa tena? Wakat naweza kumuapproach mtt mwingine yoyote mkali yaan world class na asichomoe..
Matako sio akiliha ha ha yanafilisi
Ngoja wakayatafute huko yanapopatikanaMatako sio akili
Nakubaliana nawe ingawa kwa kupenda muonekano, tumewafanya wanawake watafute weupe, figa namba nane, chura n.kTabia ndio kila kitu halafu sio kwamba wenye tabia nzuri wote ni wabaya wapo wengi wenye tabia nzuri na uzuri kwa tafsiri yako