Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,269
- 40,054
Kumekuwa na tabia ya kubaguana katika kutafuta wapenzi; wapo wanaosema wanataka wapenzi wao mara wawe weusi, weupe, warefu, wanene, wenye chura, macho goroli, kiuno nyugwi, aliyejazia kifua n.k
Bila kujua huyo muhusika hakuomba kuzaliwa jinsi alivyo, sasa hii tabia ya kukosoa uumbaji kwa kujitangazia sifa zako za kumtaka umpendaye, hujui hunapingana na uumbaji?
Na hii inapelekea watu wengi kuwa singo mpaka uzeeni. Wengine wanaenda mbali mpaka kufanya upasuaji au maboresho ya maumbile yao. Sasa wewe kinachokuvutia ni muonekano au tabia ya mtu?
Bila kujua huyo muhusika hakuomba kuzaliwa jinsi alivyo, sasa hii tabia ya kukosoa uumbaji kwa kujitangazia sifa zako za kumtaka umpendaye, hujui hunapingana na uumbaji?
Na hii inapelekea watu wengi kuwa singo mpaka uzeeni. Wengine wanaenda mbali mpaka kufanya upasuaji au maboresho ya maumbile yao. Sasa wewe kinachokuvutia ni muonekano au tabia ya mtu?