T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,174
- 28,322
Sura
Hao wala tusiwalaumu they do it for men zaidi tuchague wakwetu magumegume wapambane na mitaaNakubaliana nawe ingawa kwa kupenda muonekano, tumewafanya wanawake watafute weupe, figa namba nane, chura n.k
Muhimu. Usipojikubali mwenyewe, atakukubali nani maisha haya.Lazima kujikubali
Teh mwanaume unajisifia Uzuri wa suraMim pia nina muonekano mzur a.k.a handsome boy. nakuaje mtumwa tena? Wakat naweza kumuapproach mtt mwingine yoyote mkali yaan world class na asichomoe..
Inatakiwa ajisifie niniTeh mwanaume unajisifia Uzuri wa sura
Sio mbaya siku moja moja.. ila Ni mbaya kwa mwanaume kutumia neno kama "Teh" kwenye uandishi wake.Teh mwanaume unajisifia Uzuri wa sura
Zinanisaidia nini kwenye maisha yangu??Hupendi six pack?
Wee ulisikia wapi??Tabia- watu hubadilika...ko shida tupu
Hivi vitu watu huvitafuta wenyewe kutokana na insecurities zao tu!Nakubaliana nawe ingawa kwa kupenda muonekano, tumewafanya wanawake watafute weupe, figa namba nane, chura n.k
Nundu na usafi vingine mbele ya safari. tabia za kiasi asiwe na perepeche nyingi aka misifa nk.Mengine tutawekana sawa Mimi mwenyewe tabia zangu zinanishinda itakuwa za kwakeKumekuwa na tabia ya kubaguana katika kutafuta wapenzi; wapo wanaosema wanataka wapenzi wao mara wawe weusi, weupe, warefu, wanene, wenye chura, macho goroli, kiuno nyugwi, aliyejazia kifua n.k
Bila kujua huyo muhusika hakuomba kuzaliwa jinsi alivyo, sasa hii tabia ya kukosoa uumbaji kwa kujitangazia sifa zako za kumtaka umpendaye, hujui hunapingana na uumbaji?
Na hii inapelekea watu wengi kuwa singo mpaka uzeeni. Wengine wanaenda mbali mpaka kufanya upasuaji au maboresho ya maumbile yao. Sasa wewe kinachokuvutia ni muonekano au tabia ya mtu?
Acha kutudanganya bana, sema tu kuwa unazipenda ila sio muhimu sana..!zinanisaidia nini kwenye maisha yangu??
Akili za maisha!Inatakiwa ajisifie nini
Teh wewe ndiyo haujui! Hilo neno bora akutamkie mwanaume mwenzako akikutamkia mwanamke ujue kakudharau!sio mbaya siku moja moja.. ila Ni mbaya kwa mwanaume kutumia neno kama "Teh" kwenye uandishi wake.