Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Si Samia na CCM yake Wala IGP , Hawa wahuni wore ni Mafisadi ,Mafisadi wa kutupwa !.
Mmeona JUZI, IGP anakua na balance CRDB zaidi ya 1 Bilioni .
hapohapo utamsikia muhuni huyu anakuja kukuambia "Amani Amani Amani watanzania tulinde Amani".
Unaimbishwa Amani yeye Bank ana Bilioni Kadhaaa, Wewe Mtanzania Hujui usiku unakula nn, hunà uhakika wa Ajira, Familia zikizidi kua Masikini.
Mtazame ACP MAFWELE Huyu jamaa ana UTAJIRI Mkubwa sana pale Mwanza .
Kuna Kamishina Mmoja wa Jeshi wakati wa Magufuli, Akaunti zake zilishikiliwa Kwa muda Kwa sababu ya Mabilioni kadhaa aliojilimbikizia, huyu Kamishina pale Mwanza ana magorofa, hotels n.k .
Njoo kwa Ma CCM yenyewe, ni kama yanashindana , Kila MTU anachota pwaaaa na kuondoka .
Alafu yanakua kukuambia "AMANI AMANI AMANI".
Hamna Cha Amani Ndugu zangu, ni UJANJA wa kihuni unaotumiwa na haya Majambazi makuuu kuendelea kutuibiw watanzania, na majamaa haya YAKO TAYARI KUUA LAKINI SI KUACHA YAANGUKE ILI TIYAFIKISHE MBELE ZA HUKUMU .
WATANZANIA AMKENI, TOKENI KWENYE USINGIZI WA UJINGA , TANZANIA AMANI NI KAULI MBIU YA MAFISADI !!.
Mmeona JUZI, IGP anakua na balance CRDB zaidi ya 1 Bilioni .
hapohapo utamsikia muhuni huyu anakuja kukuambia "Amani Amani Amani watanzania tulinde Amani".
Unaimbishwa Amani yeye Bank ana Bilioni Kadhaaa, Wewe Mtanzania Hujui usiku unakula nn, hunà uhakika wa Ajira, Familia zikizidi kua Masikini.
Mtazame ACP MAFWELE Huyu jamaa ana UTAJIRI Mkubwa sana pale Mwanza .
Kuna Kamishina Mmoja wa Jeshi wakati wa Magufuli, Akaunti zake zilishikiliwa Kwa muda Kwa sababu ya Mabilioni kadhaa aliojilimbikizia, huyu Kamishina pale Mwanza ana magorofa, hotels n.k .
Njoo kwa Ma CCM yenyewe, ni kama yanashindana , Kila MTU anachota pwaaaa na kuondoka .
Alafu yanakua kukuambia "AMANI AMANI AMANI".
Hamna Cha Amani Ndugu zangu, ni UJANJA wa kihuni unaotumiwa na haya Majambazi makuuu kuendelea kutuibiw watanzania, na majamaa haya YAKO TAYARI KUUA LAKINI SI KUACHA YAANGUKE ILI TIYAFIKISHE MBELE ZA HUKUMU .
WATANZANIA AMKENI, TOKENI KWENYE USINGIZI WA UJINGA , TANZANIA AMANI NI KAULI MBIU YA MAFISADI !!.