Watapiga mayowe mpaka baba yake msukuma mwenzake atoe pamba masikionimtamtoa vipi mteule wa raisi?
Watapiga mayowe mpaka baba yake msukuma mwenzake atoe pamba masikionimtamtoa vipi mteule wa raisi?
Amekuwa kama chizi kwa mawazo, ujue makonda hana mtoto hata wa kusingiziwa sasa kutengeneza movie ya mwanamke kumchafua Gwajma hapo ndipo tutashuhudia Gwajma akimvua nguo zote.Muwe makini nasikia ameanza kutembea na mguu wa kuku!
Hizo ni za chini ya kapeti
Mfano kesho lazima Gwajma awashe moto juu ya clouds na makonda hilo halikwepekiTutasikia mengi kwenye sakata hili mpaka tusiyotaraji kuyasikia
hongera sana mzee ! nilidhani kijana mwenzangu nijiweke
ahahaaa utani tu jamaniBoss Miss Natafuta Umenichekesha aisee ... Ufanyaje? ... Ujiweke. Jamii Forum kuna Raha na Karaha.
Daah! JF siku hizi ni raha sana..pini baada ya pini
Bado wamo lakini. Ha ha ha ha
Mzee Tupatupa
Ngoja nikafute vumbi redio yangu nikanunue betri tayari nikae kwenye kigogo kusikiliza...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpaka ignore list hii chiboko, ila kumbe wewe mchokozi unafanya makusudi.Hapa haihitji nguvu kubwa kuwaprovoke watu watoe mapovu just ni kuandika handsome makonda,watu wanakereka kweli kwangu rahaaaa. Wengi humu hawapendi uandike kile wasichokipenda wanataka wote tumsakame makonda,no way wanichukie tu na kunijudge watakavyo.
Natamani kuwaona walioniweka kwenye ignore list hahahah its funny.
Yeah hata kwenye soka hasa fainal mshindi lazima apatikane baada ya purukushan ndefu za wachezaj na mashabiki kutoa sapoti.
Mbwa akipata kichaa na kuanza ngata majirani hâta km bado anang'ata wezi ni sa kuua tuu. Km wenzie wanamtaka wamweke ndani kwao awatafune. Cdm inabidi watangaze bashite s'il salama tena na anyang'anywe silaha.Kwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Lazima ang'oke sasa. Uwepo wake si salama kwa Raia. Lazima tujiulize anapata wapi kiburi hadi cha kuvamia vyombo vya habari?
Hahahahahaha mkuu lusungo na wewe unataka kujikita hapo baada ya kusikia mzee tupatupa kamwagwa kwasababu ya uzee?Njoo ujiweke kwangu....
Hakina jina la klinik namba ya mtoto wala mahali alipozaliwa na huo mwandiko sio wa nesi wala..poor barshete