Kinachofuata: Daudi Albert Bashite lazima ang'oke, muda wa usafi umefika!

Kinachofuata: Daudi Albert Bashite lazima ang'oke, muda wa usafi umefika!

Hapa haihitji nguvu kubwa kuwaprovoke watu watoe mapovu just ni kuandika handsome makonda,watu wanakereka kweli kwangu rahaaaa. Wengi humu hawapendi uandike kile wasichokipenda wanataka wote tumsakame makonda,no way wanichukie tu na kunijudge watakavyo.

Natamani kuwaona walioniweka kwenye ignore list hahahah its funny.

Yeah hata kwenye soka hasa fainal mshindi lazima apatikane baada ya purukushan ndefu za wachezaj na mashabiki kutoa sapoti.
Unachojitofautisha na wachangiaji wengine ni kwamba wenzako wana hoja wewe unaleta ushabiki maandazi! Hoja hii haiwezi kulinganishwa na ushabiki wa mpira kama unavyodai: Hapa ni hoja inayohusu kosa la jinai linalodaiwa kufanywa na Bashite aka Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa, kosa ambalo kwa watu wengine tayari wamekimbia kazi na ni serikali yenyewe iliyowakimbiza, lakini Bashite yeye bado yuko ofisini! Hapa watu wanahoji ni kwa vipi mtu aliyeibuka na orodha ya watu akawatangaza kuwa wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya, lakini leo mtu huyo huyo anaonekana na magari ya hao mnaowaita wauza ganda! Akili ya kawaida inaelekeza wewe unayeleta ushabiki ukae pembeni uache watu wapambane kusafisha nchi yao iliyogeuzwa kuwa chaka la wahuni wanaotumia uzoba wa vijana na wananchi wengi wa nchi hii kupora mali za watu kwa mbeleko ya "upambanaji dhidi ya madawa ya kulevya"!
 
Maneno yote yanini, kiongozi wa umma hapaswi kutuhumiwa, akituhumiwa lazima lazima awake watu sawa ili aendelee kuaminika na jamii.

Ndio maana lazima tujue mali za viongozi wetu kabla na baada na historia zao ni muhimu pia..
Kuonyesha vyeti mbona ni suala dogo sana kuliko nguvu inayotumika kutetea???

Hata uandike nini mie yanapita hukooooo

Kagonge hodi nyumbani kwake muombe akuonyeshe.

Makonda oyeeeee
 
mbona Mchugaji mnzizi amumtoi kanisani akuna kitu kibaya katika kanisa kama kuzini ndomana dini yawezetu inasema mzinifu apigwe mawe mpaka afe..........
 
mbona Mchugaji mnzizi amumtoi kanisani akuna kitu kibaya katika kanisa kama kuzini ndomana dini yawezetu inasema mzinifu apigwe mawe mpaka afe..........
Mtasuburi sana na video yenu ya kutengeneza.Mchungaji anaendelea kuchapa injili,nyie endeleeni na kutengeneza muvi,nchi inaenda mrama
 
Waaaoooww bonge la povu
Unachojitofautisha na wachangiaji wengine ni kwamba wenzako wana hoja wewe unaleta ushabiki maandazi! Hoja hii haiwezi kulinganishwa na ushabiki wa mpira kama unavyodai: Hapa ni hoja inayohusu kosa la jinai linalodaiwa kufanywa na Bashite aka Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa, kosa ambalo kwa watu wengine tayari wamekimbia kazi na ni serikali yenyewe iliyowakimbiza, lakini Bashite yeye bado yuko ofisini! Hapa watu wanahoji ni kwa vipi mtu aliyeibuka na orodha ya watu akawatangaza kuwa wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya, lakini leo mtu huyo huyo anaonekana na magari ya hao mnaowaita wauza ganda! Akili ya kawaida inaelekeza wewe unayeleta ushabiki ukae pembeni uache watu wapambane kusafisha nchi yao iliyogeuzwa kuwa chaka la wahuni wanaotumia uzoba wa vijana na wananchi wengi wa nchi hii kupora mali za watu kwa mbeleko ya "upambanaji dhidi ya madawa ya kulevya"!
 
Hili Sakata lingekuwa Kenya mwanaharakati kama Okiya Omtata au Boniface Mwangi au mwananchi yeyote angefungua kesi mahakamani kwa challenge uteuzi huo kwa misingi ya tuhuma hizo... Kwa sababu katiba inaruhusu mwananchi yeyote kufungua kesi dhidi ya afisa wa Umma... Mnachotakiwa kufanya kama watanzania ni mmoja wenu kupata ujasiri na kufungua kesi na katika hiyo kesi ofisi ya Mwanasheria mkuu iunganishwe kadhalika Tamisemi na asasi nyingine husika.... Hizi kelele za mitandao ni za chura tu.... Basi nani was kujitolea afungue kesi mbele ya Hakimu Mfawidhi Kisutu???
 
Injustice ya Jecha Zanzibar siyo ya kufumbiwa macho baada ya Bashite , Jecha atendewe "haki".
 
Back
Top Bottom