Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,866
opportunist ahahaaa ngoja nimtafute lissu wangu mwenzangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] katika ubora wako,,.
opportunist ahahaaa ngoja nimtafute lissu wangu mwenzangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] katika ubora wako,,.
ahahaa hao malizia na bibi yetu mzeeBado wamo lakini. Ha ha ha ha
Mzee Tupatupa
All the best winda kama simba jike,,.opportunist ahahaaa ngoja nimtafute lissu wangu mwenzangu
ahahaaa mimi sio muwindaji bna niombe radhiAll the best winda kama simba jike,,.
Miba ilikoingilia ndiko itakakotokea.mtamtoa vipi mteule wa raisi?
Dawa ya paka mtumbukize bwawani!! Unaweza kumuonea huruma ukamtoa!!bashite ana roho ya paka...hafi haraka
Akiondoka pekee haitoshi, inabidi sheria ifuate mkondo wake!Kwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Hivi mzee Tupatupa tulikua wote? Nawewe muamala wa rushwa ulikufikia kama mimi?Yes,of course. For 32 years
Mzee Tupatupa
Njoo ujiweke kwangu....hongera sana mzee ! nilidhani kijana mwenzangu nijiweke
na wewe ni wakili? natafuta mume wakili jamani naona mna akili sana mnajitambuaHivi mzee Tupatupa tulikua wote? Nawewe muamala wa rushwa ulikufikia kama mimi?
Nimempa kura yangu Lissu!!