Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Bashite Shilawadu huenda akazama na wengi au hata Serikali nzima!
[emoji3][emoji3] umeshikwa pabaya leo polefugees
Hizi picha sio nzuri kabisa, kama hautajali zifute tafadhali
Kwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Ndio nini?[emoji3][emoji3] umeshikwa pabaya leo pole
Nilikosea kusoma "mkondo" nilitaka kukuripoti kwa mod.Akiondoka pekee haitoshi, inabidi sheria ifuate mkondo wake!
Apigwe miaka kadhaa ya kunyea ndoo...
Edit postNielekeze namna ya kuideleate plz najarb nashindwa..
Hata kama!mtamtoa vipi mteule wa raisi?
mbona Mchugaji mnzizi amumtoi kanisani akuna kitu kibaya katika kanisa kama kuzini ndomana dini yawezetu inasema mzinifu apigwe mawe mpaka afe..........
Umepotea kabisaa, ukowapi sikuhiziKwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Maelezo ni muhim