shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,322
Nakuelewa sana mzee tupa tupa
Ndio nimekwambia hvo jaman so ni swala la kutangaza nia tu[emoji1]kama upo single nitafute mkuu
Wametoka mbali mno, alimwunganisha na waliomtengenezea mabango na vipeperushi vya kampeni. Lazima amlinde.Nazidi kumdharau Alie Mteuwa
Kumbe unawapenda Vijana eenh! i thought ulishatukata majina kama Lowasa 2015hongera sana mzee ! nilidhani kijana mwenzangu nijiweke
una cheti cha uwakili lakini?Ndio nimekwambia hvo jaman so ni swala la kutangaza nia tu[emoji1]
Yaaa kipo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mm sio bashite banauna cheti cha uwakili lakini?
FIFO ni msamiati kwa wengineHapa utaratibu unaotumika ni FIRST IN FIRST OUT(FIFO).Tulianza kuomba cheti cha Daudi Albert Bashite wa Koromije ambae kwa mitaa ya Dar es salaam anajiita Paul Makonda.Ebu tuondolee upuuzi wako
nitumie pm usije niuzia mbuzi kwenye guniaYaaa kipo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mm sio bashite bana
Haturuhisiwi fanya hvo kwa maadili ya taaluma yetu ni mwikonitumie pm usije niuzia mbuzi kwenye gunia
Ubuyu wa shilawadu utageuka shubiri kesho kumbe wanakula ngada na wao wanaliwa pia..... Za kunyapia nyapiaNdio na mie nachochea zaidi tule ubuyu wa shilawadu. Usijali sihitaji like maana hazina hela humu
ahahaaa au kipo koromije?Haturuhisiwi fanya hvo kwa maadili ya taaluma yetu ni mwiko
Hujitambui ww bado upo kwenye tanzania ya gizan kama mnakosaga vya kuandika kausheniWatu wa dar bana hamtaki kutawaliwa na wa mikoani halafu mnaomba nguvu kutoka kwa watu wa mikoani!!! Nawashauri muendelee kupata msaada wa bure toka kwa mange(mwanamke wa dar)
Serikali imepata hasara hapa.Yes,of course. For 32 years
Mzee Tupatupa
Kwan kumetokea kituko gani tena studio za mawingu kuhusu call me JKafanyeje
Tena kuna kitu kimoja system kama inafikiri sawasawa inabidi ijitafakari. Baada ya kuwekwa ndani Maxence, walidhani watu wangeacha kuongea. Ajabu ni kwamba kwanza wamesaidia kuitangaza maana new members wengi mno siku za hivi karibuni, lakini pili watu ndio wanatema "nyama" kuliko hapo awali. Raha ya uongozi ni:-Daah! JF siku hizi ni raha sana..pini baada ya pini
Hujitambui ww bado upo kwenye tanzania ya gizan kama mnakosaga vya kuandika kausheni
Hahahahaha wanaokasirika mtu akimtetea Makonda ni ambao hawaamini kama kila mtu ana haki ya kua na maoni yake na yasikilizwe.
Mwisho wa yote tutakua na pande mbili walio sahihi na wasio sahihi kwa sasa kila upande unajiona upo sahihi kwa kutumia common sense tulizojaaliwa, likifika hitimisho ndiyo upande sahihi rasmi utatambulika.