Kinachofuata: Daudi Albert Bashite lazima ang'oke, muda wa usafi umefika!

Kinachofuata: Daudi Albert Bashite lazima ang'oke, muda wa usafi umefika!

Aliyemteua ndiye mwenye amri ya kumtoa.!! Na si vinginevyo
 
Kwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.

Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!

Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu

Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Haha ha eti muda wa usafi umefika

Mkuu kwan wewe siku hiz vipi, hueleweki

Huvai tena nguo za kijan?
 
Yaano wewe na wenzako mnaowachafua viongozi wa nchi hii, sababu ya kuwa wa upinzani na wavunja sheria hata ya ngada

Unakuwaga upo sababu hujapewa cheo bado maumia fulani kiaina hadi upate cheo unachotaka.

Eti ndio umeandika hahahaaaa


Hatoki mtu kwenye cheo, akitoka mtatafuta mengine hakuma mjinga wa kuachia kazi kisa uongo wenu na wivu


Hii awamu ya 5 mtaisoma namba zaidi na zaidi, na sheria mpya zinatinga soon.


Mnalo kwa kweli sababu mtaumia zaidi na zaidi.

Maneno yote yanini, kiongozi wa umma hapaswi kutuhumiwa, akituhumiwa lazima lazima awake watu sawa ili aendelee kuaminika na jamii.

Ndio maana lazima tujue mali za viongozi wetu kabla na baada na historia zao ni muhimu pia..
Kuonyesha vyeti mbona ni suala dogo sana kuliko nguvu inayotumika kutetea???
 
Mawikili wote ( hasa members Wa TLS) ni wasomi kinoma, sorry hivi wewe ni " miss natafuta" nn ? Elimu, mambuzi, au wachumba? Na walakini na Elimu yako!!!
mawakili wasomi ni wale 88% tu waliomchagua lissu wengine waliobak ni mawakili bashite
 
Hahahahaha wanaokasirika mtu akimtetea Makonda ni ambao hawaamini kama kila mtu ana haki ya kua na maoni yake na yasikilizwe.

Mwisho wa yote tutakua na pande mbili walio sahihi na wasio sahihi kwa sasa kila upande unajiona upo sahihi kwa kutumia common sense tulizojaaliwa, likifika hitimisho ndiyo upande sahihi rasmi utatambulika.
ucjigonge sana kwa bashite ana mke huyo au unataka kupakaza una mimba yake?
 
ucjigonge sana kwa bashite ana mke huyo au unataka kupakaza una mimba yake?
Usirudie tena kuniquote halafu ukaandika utumbo wa kitoto kama uliouandika hapo. Hiko ulichoandika wewe na Bashite mna tofauti gani?
 
Si tu ang'oke ashitakiwe pia kutumia vyeti ambavyo si vyake...
 
Back
Top Bottom