melting Lava
Member
- Jan 22, 2017
- 29
- 20
Mawikili wote ( hasa members Wa TLS) ni wasomi kinoma, sorry hivi wewe ni " miss natafuta" nn ? Elimu, mambuzi, au wachumba? Na walakini na Elimu yako!!!nimechoka kusubiri ! na wewe ni wakili msomi?
Mawikili wote ( hasa members Wa TLS) ni wasomi kinoma, sorry hivi wewe ni " miss natafuta" nn ? Elimu, mambuzi, au wachumba? Na walakini na Elimu yako!!!nimechoka kusubiri ! na wewe ni wakili msomi?
Vyeti vya wenzenu mnavyo, ila vyenu hamna[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu mimi siku zote huwa nakupa SALUTE kwa michango yako iliyoshiba. kwa kumg'oa Bashite tupo woteKwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
hujitambui weweMawikili wote ( hasa members Wa TLS) ni wasomi kinoma, sorry hivi wewe ni " miss natafuta" nn ? Elimu, mambuzi, au wachumba? Na walakini na Elimu yako!!!
Mkuu hatukosoi hua tunaweka facts ubaoni mwenye hoja za msingi anakua ndiyo mshindi.Mkuu huku namfata handsome makonda tu. Hunioni kumkosoa mbowe,lissu,wala cdm au ccm hayo ni masuala ya wazoefu zaidi.
Kama na wewe sasaivi unajiita "wakili" nawasiwasi na cheti chako.Kwanza namshukuru Mungu kwa kuimaliza kazi ngumu,kubwa na muhimu ya kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais wetu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika-TLS.
Nawapongeza Mawakili wote walioshiriki kuchagua wanaowaamini. Nawapongeza watanzania walio wengi kwa kutuunga mkono Mawakili tangu mwanzo hadi leo. Mmetupa nguvu ya kuwapuuza watishaji na kuwaonesha kuwa MAWAKILI SI WATU WA MCHEZOMCHEZO!
Baada ya mambo ya Arusha,tunaelekeza nguvu zetu Dar es Salaam kumng'oa Daudi Albert Bashite anayejiita Paul Makonda. Mapambano yatakuwa ya kimyakimya na ya wazi itakapobidi. Kama hataonesha cheti chake cha kidato cha nne,Bashite ataondoka tena kwa aibu
Iwe sirini au hadharani;iwe mteule wake anapenda au analinda, Bashite atatoka. Kwa mkakati huo jinsi ulivyosukwa,Rais atasikia,kujua na kuamua kumuondoa. Muda wa kufanya usafi umefika!
Mwafaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Please, jitambue wewe Kwanza, hujanijibu unachokitafuta! Wale brilliant Advocates waliamua kisomi zaidi Jana, ....hujitambui wewe
[emoji13] [emoji13]
Kule Isidingo nitakupa like ila huku mhhh! Hapa watu wanatetea na kununua ugomvi usio wahusu
Cheti hakina hata mikunjo huyo jamaa ni zaidi ya zombiee
Mkuu hatukosoi hua tunaweka facts ubaoni mwenye hoja za msingi anakua ndiyo mshindi.
Sasa kama ukiingia tu kisa handsome Makonda si unaingia huku una prejudice hauupi ubongo wako nafasi ya kufikiria cha kwanza kukujia ndiyo hiko hiko unakiandika.
Usije ukakasirika tena.Hahaha aisee ningeingia kwa kumkashfu makonda na serikali nzima mngeniita mwanamke shujaa mwenye akili jaman. Sihitaji sifa za mitandaoni hazinisaidii kwenye real life.
Subir nasi tuwe viongoz..ili wapate vyetu...wacha nikuulize kitu.."ulishawahi kujitekenya na ukacheka?"..ila mtu mwingine anaweza kukufanya ucheke..kama una kubaliana na mimi... basi tupo kwa right truck..Right?Vyeti vya wenzenu mnavyo, ila vyenu hamna[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Usije ukakasirika tena.
KafanyejeHii Ni siku ngumu sana Kwa faza house mchana kachezea kichapo Arusha usiku huu mtoto mpendwa alicho fanya Sawa na kutembea uchi kariakoo
Halafu wewe sikuelewagihongera sana mzee ! nilidhani kijana mwenzangu nijiweke
kwanini mkuu?Halafu wewe sikuelewagi
Ndiowewe ni wakili msomi?
Hahahahaha wanaokasirika mtu akimtetea Makonda ni ambao hawaamini kama kila mtu ana haki ya kua na maoni yake na yasikilizwe.Hahaa sijakasirika wala nn ila nahisi nakasirisha wengi kwa kujiweka upande wa makonda,mnisamehe tu wakuu.
kama upo single nitafute mkuuNdio