technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Mauaji yanaendelea mwisho wa reli
Typical banana republic stuff!
Kuna wakati Magu alikuwa na msimamo na jambo na litaheshimiwa...hapo nimsifu.Huo utakuwa mkusanyiko wa lazima
Hii mechi ingefutwa tuUwanja ulishajaa watu bado wanaingia
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.
Cost ya kuuguza na kuzika itakua kubwa kuliko ujinga tutakaouona uwanjaniTypical banana republic stuff!
Angalia comments za CCMUwanja ulishajaa watu bado wanaingia
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.
Wewe ni wakala wa corona?Uwanja ulishajaa watu bado wanaingia
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.
Mkuu, Serikali yenyewe inajua Corona sio big deal hapa nchini kiivyo, ila kwa kuwa wana njaa na Pesa ya mabeberu ni lazima wawahadae kwa kujifanya wanafuata Yale mabeberu wanataka kusikia.Uwanja ulishajaa watu bado wanaingia
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.
Hapo yanaangaliwa mapato zaidi. Kama umeshindwa kujikinga mwenuewe utajijua.Hii mechi ingekuwa taifa linalojielewa isingechezwa, au ichezwe bila mashabiki, hii Corona tunaigiza kupambana nayo.