technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,960
- 48,759
Uwanja ulishajaa watu bado wanaingia
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.
Corona kuna wagonjwa Kigoma lakini uwanja umejaa kupita kiasi.
Watu bado wanaingia mpaka sasa
Halafu kesho munaanza kutusumbua kwenye public transport eti tuvae mabarakoa.
Na hawa watu wametoka karibu mikoa yote ya Tanzania maana yake maambukizi yatasambaa nchi nzima!!
Uwanja unajazaje watu kuliko uwezo wake wa idadi?
Kinachoendelea kigoma muda huu ni utoto.