Kinachoendelea Zanzibar ni aibu kwa nchi

Kinachoendelea Zanzibar ni aibu kwa nchi

ImageUploadedByJamiiForums1458067427.001510.jpg

Kuna vita huko??
 
Haki ilokududiwa ni ubaya..Hata Nyerere hajawahi kutumia nguvu na kutisha

Ila sisi hatuna zaidi ya kumuomba muumba wetu Allah atulinde na kila alokusudia ubaya kwa watu wa Znz basi umuangamize baharini asirudi kwao ili iwe mfano wa wale walotaka kuvunja AlQaaba.
Pia tunawaomba ndugu zetu Waislam wa Tanganyika wasitutupe wawe pamoja nasi watusemee wapaze sauti...wwkatae haya yanayo fanyika....sauti zenu ni muhimu sana......wakati huu mgumu ambao watu wanaweza kuharibu mali na kusingizia wenzao ili wapate kuwapiga...Tafadhali sana ndugu zetu waislam tunakuombeeni pamoja na wale wote wapenda amani na haki...
 
Watu wanateseka huko jamani.mbona hamtendi haki.jecha na wenzio mtakwenda kujibu kwa mungu
 
Mambo yanayohusu ulinzi na usalama ni classified, hayapaswi kupewa media attention, vifaru ni silaha za kivita na sio vifaa vya kutunzia usalama, hivyo ukiona vifaru, ujue tayari taarifa za kiintelijensia zimeishawafikia, na wanausalama makini kote dunia, hujipanga kukinga ni bora kuliko tiba, hivyo vifaru huko ni kwa ajili ya tahadhai kabla ya hatari, kuna mambo fulani kuna magaidi fulani wamepanga kufanya ugaidi fulani, hivyo kitendo tuu cha kuviona vifaru na ulinzi ulioimarishwa, hao magaidi, hawataendelea tena kutekeleza nia zao ovu!.

Kwa hayo yanayotokea kwa vile Wanzanzibari wenyewe wapo na wameyakubali, ulitaka wafanye nini?!. Viongozi sio ni kama hawapo, bali kiukweli hawapo kikatiba na kisheria, muda wao ulikwisha asmi November 4, sasa wapo wapo tuu kama hawapo!. Wana dini pia wapo kuwafikisha watu mbinguni na sio kuwaingiza magaidi ikulu!, taasisi za kiraia zipo kufanya kazi za kiaia na sio kuingilia mambo ya siasa!, taasisi za haki za binadamu zipo na zinasubiri malalamiko yoyote rasmi kuhusu ukiukwaji wa haki za binaadamu, na hakuna malalamiko yoyote so far!, hii inamaanisha watu wote wameridhika na yote yanayotendwa!. Taasisisi za kisheria pia zipo, taratibu za taasisi zozote za kisheria ni kwa watu wenye malalamiko yoyote ya kisheria kuzifuata kuomba msaada wa kisheria, lakini kwa yote yanayotokea Zanzibar, hakuna yoyote aliyechukua hatua yoyote kulalamika popote, hivyo ulitegemea taasisi hizo zifanye nini?!, yaani daktari atoke hospitalini aanze kutembelea majumbani kuulizia wagonjwa?!, kikawaida kama mahali kuna mgonjwa, mgonjwa huyo ndie atakwenda hospitali kufuata tiba na sii vinginevyo!. Vyama vya siasa ndio kabisa, vipo kama havipo kwa sababu wao ndio waathirika wakuu, sheria taratibu na kanuni wanazijua, hawakufanya lolote zaidi ya kuitisha press conference na kupiga mikelele tuu, unategemea nini?!.

Usalama kwanza, mengine yote baadae!.

Pasco


Opprortunist

I really hate opportunists
 
Mi siogopi jina lako hata kidogo,kwa kukujibu,kama hoja ni kutawala tu,Tanzania iliitawala kwa muda Uganda mara baada ya Vita ya ukombozi. Pia Tanzania ilitawala Anjuani kabla hawamuweka Rais wanayemtaka na pote huko palitawaliwa na maafisa wa jwtz wenye vyeo vya kanali. Sheli sheli pia ilishawahi kushikwa na Tanzania kwa miezi kama mitatu,kwahiyo sioni la ajabu as long kwamba Zanzibar ina undergo security unrest kuelekea uchaguzi wa marudio[emoji4]



TANZANIA AU TANGANYIKA ???
Timu pinzani imegoma na sasa uwanjani wapo wenyewe referee wao wenyewe linesmen wao wenyewe cha kushangaza zaidi wanaawachezea rafu watazamaji ambao wapo juu ya majukwaa kazi kweli kweli
 
Kama ulinisoma na kunielewa, kazi ya vifaru sio kuleta amani, vifaru viko pale ili kutoa tahadhari kabla ya hatari, yaani ni kinga ambayo ni bora kuliko kinga, hao magaidi kile walichokipanga kukifanya, baada ya kuona vifaru, hawatakifanya tena, na uchaguzi utapita salama!, sasa kama watakuja kuyafanya baada ya uchaguzi, sasa hayo yatakuwa ni mengine, concern kwa sasa ni uchaguzi umalizike salama!.

Pasco

Tupe tafsiri ya ugaidi ?? anayefanya ugaidi hapo ni nani ??
 
Jamani tuwe wakweli. Hivi hili figisu kalianzisha nani? Hebu kwanza naomba mtafakari haya matokeo yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutoka majimbo 31 kati ya 54 wakati wakiendelea kupokea mengine[Matokeo hayo yaliyokuwa yametangazwa kufikia saa mbili jioni Oktoba 27 ni kama ifuatavyo:
Matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar (Majimbo31/54)]

Jina Chama Kura Asilimia
Khamis Iddi Lila ACT-W 189 0.1
Juma Ali Khatib ADA-TADEA 93 0.0
Hamad Rashid Mohamed ADC 252 0.1
Said Soud Said AFP 223 0.1
Ali Khatib Ali CCK 240 0.1
Ali Mohamed Shein CCM 139,557 57.9
Mohammed Massoud Rashid CHAUMMA 257 0.1
Seif Sharif Hamad CUF 93,699 38.9
Taibu Mussa Juma DM 118 0.0
Abdalla Kombo Khamis DP 86 0.0
Kassim Bakar Aly JAHAZI 227 0.1
Seif Ali Iddi NRA 63 0.0
Issa Mohammed Zonga SAU 127 0.1
Hafidh Hassan Suleiman TLP 107 0.0
Zanzibar ina jumla ya wapiga kura 503,860 waliojiandikisha kupiga kura, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

Halafu twendeni kwenye matokeo aliyotangaza maalim seif
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein.

Sasa twendeni kwenye tafakuri
1 Tume ilitangaza kuwa wapiga kura wote waliojiandikisha walikuwa 503,860
2. Kwenye majimbo 31 kati ya 54 iliripotiwa kuwa Dr. Shein alipata kura 139,557[57.9%] na Maalim Seif
alipata kura 93,699[38.9]
3 Vyama vingine vidogo vilipata kwa pamoja chini ya asilimia 3 ya kura zote

Alipotangaza ushindi maalim alidai kuwa alipata kura 200,0007 na shein alipata 178,363 hizi hesabu ni kwa zanzibara na pemba.
Hakuna kura zilizoharibika wala kura za vyama vingine

Hivi ndugu zangu hapa ni nani wa kulaumiwa? Hivi mlitaka tume ikubaliane na hesabu za maalimi seif ambazo alidai ni za visiwa vyote 2?

Maoni yangu ni kuwa[naomba msitukane ila mtafakari maana hili ni jamvi la 'those who dare to speak'
Maalim baada ya kuona hali ya matokeo kutoka majimbo 31 hadi tarehe 27 yalionyesha dhahiri kuwa ulikuwepo uwezekano mkubwa kwa chama chake kushindwa na ili afe kiume alipreempt tume kwa kuanza kutangaza yeye wakati akifahamu kuwa kwa sheria zilivyosasa ni tume pekee ambayo inahaki ya kutangaza matokeo.
USILOLIJUA SAWA NA USIKU WA GIZA
 
Moto unakuja huku kwenye kiwanda cha petroli , wewe unafikiri haya mambo yatamalizikia znz tu ??? au uko nje ya tz na tz huna jamaa yako yeyote ??
nipo i dont care anymore nimechoshwa na huu upuuzi unaoendelea hapa tz so kama noma na iwe noma
 
Jamani tuwe wakweli. Hivi hili figisu kalianzisha nani? Hebu kwanza naomba mtafakari haya matokeo yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutoka majimbo 31 kati ya 54 wakati wakiendelea kupokea mengine[Matokeo hayo yaliyokuwa yametangazwa kufikia saa mbili jioni Oktoba 27 ni kama ifuatavyo:
Matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar (Majimbo31/54)]

Jina Chama Kura Asilimia
Khamis Iddi Lila ACT-W 189 0.1
Juma Ali Khatib ADA-TADEA 93 0.0
Hamad Rashid Mohamed ADC 252 0.1
Said Soud Said AFP 223 0.1
Ali Khatib Ali CCK 240 0.1
Ali Mohamed Shein CCM 139,557 57.9
Mohammed Massoud Rashid CHAUMMA 257 0.1
Seif Sharif Hamad CUF 93,699 38.9
Taibu Mussa Juma DM 118 0.0
Abdalla Kombo Khamis DP 86 0.0
Kassim Bakar Aly JAHAZI 227 0.1
Seif Ali Iddi NRA 63 0.0
Issa Mohammed Zonga SAU 127 0.1
Hafidh Hassan Suleiman TLP 107 0.0
Zanzibar ina jumla ya wapiga kura 503,860 waliojiandikisha kupiga kura, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

Halafu twendeni kwenye matokeo aliyotangaza maalim seif
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein.

Sasa twendeni kwenye tafakuri
1 Tume ilitangaza kuwa wapiga kura wote waliojiandikisha walikuwa 503,860
2. Kwenye majimbo 31 kati ya 54 iliripotiwa kuwa Dr. Shein alipata kura 139,557[57.9%] na Maalim Seif
alipata kura 93,699[38.9]
3 Vyama vingine vidogo vilipata kwa pamoja chini ya asilimia 3 ya kura zote

Alipotangaza ushindi maalim alidai kuwa alipata kura 200,0007 na shein alipata 178,363 hizi hesabu ni kwa zanzibara na pemba.
Hakuna kura zilizoharibika wala kura za vyama vingine

Hivi ndugu zangu hapa ni nani wa kulaumiwa? Hivi mlitaka tume ikubaliane na hesabu za maalimi seif ambazo alidai ni za visiwa vyote 2?

Maoni yangu ni kuwa[naomba msitukane ila mtafakari maana hili ni jamvi la 'those who dare to speak'
Maalim baada ya kuona hali ya matokeo kutoka majimbo 31 hadi tarehe 27 yalionyesha dhahiri kuwa ulikuwepo uwezekano mkubwa kwa chama chake kushindwa na ili afe kiume alipreempt tume kwa kuanza kutangaza yeye wakati akifahamu kuwa kwa sheria zilivyosasa ni tume pekee ambayo inahaki ya kutangaza matokeo.
Nimesoma Kwa Umakini Nikadhani Una Kitu Cha Maana Ambacho Unataka Tukusikie, Kumbe Ushoga Mtupu!! Majimbo Yapo 51 Na Tume Imetangaza Majimbo 31 Yote Ya Unguja Na Kati Ya Hayo 31 Yenyewe, CUF Ilikuwa Na Viti 7 (MAJIMBO) Vya Uwakilishi Upande Wa Unguja Na Mgombea Wake Wa Urais Alimbwaga Yule Wa CCM Ktk Majimbo Hayo 7 Na Yule CCM Aliongoza Ktk Majimbo 24 Ya Unguja!! Haya Tuambie Hesabu Ya Majimbo 18 Ya Pemba, Ambayo Miaka Yote Na Cuaguzi Zooote Tokea 1995 CCM Inatoka Patupu (Hayo 18 Ni Baada Ya Figisu Za Kuyaunganisha) Je, CCM Walipata Majimbo Mangapi (Wawakilishi) Na Mgombea Wake Wa Kiti Cha Urais Alipata Kura Ngapi!!!!!?? Je, Kwanini ZEC Ya JECHA Ilpatwa Kigugumizi Kuendelea Na Utangazaji Matokeo Yaliobakia Ya Majimbo Ya Pemba!!!!!?? Je, Kwanini ZEC Haijaweka Hadharani Hicho Ulichokisema Kama Ndio Sababu Ya Jecha Kufuta Matokeo Hadi Leo Hii!!! JE, Kwani Hii Ni Mara Ya Kwanza Kwa CUF Na Mgombea Wao Wa Kiti Cha Urais Kusema Wao Ndio Washindi Mbele Ya Waandishi Wa Hbr!!!!?? JE, Sheria Inasemaje Kwa Mgombea Ambaye Amejitangaza Mshindi!!! Ni Kufuta Matokeo Ya Uchaguzi Au Kukamatwa Na Kushitakiwa!!!!?? JE, Matokeo Yaliosema Mgombea Wa CUF, Ni Jumla Au Ni Yale Ya Majimbo 31 Tu!!!! NADHANI Unachajaribu Kukifanya Kuupotosha Umma Wa TANZANIA, Kama Wanavyofanya Hao Waliokupotosha Ww Na Wenzio!!! Watanzania Wanajua Kila Kitu, Mnapata Shida Bure!!!
 
Kwa kumbukumbu zangu mm katika dunia hii binaadamu pekee aliekuwa na nguvu mpaka akataradadi basi ni FIRAUN LAANATU LWAAH lkn mwisho wa siku kawa katuni la maonyesho sasa hao wanajeshi na maafisa mbalo mbali wakae wangalie wananguvu kama aliokuwa nayo firaun wameshajipanga na akhera yao inawahadaa dunia leo jecha utajibu hilo kesho hukimbiii wala hulaliii hilo jiandae kesho halina pingamiz isikuhadae vijisenti unavyopewa havina maana yyt hio huo wasi wangu kwako kwan MTUME SWA amesema nifikishen alau aya moja jecha nishakufikishia hio kila la kher tukutane yaum lhisabu
 
Nilibahatika kukutana na watu waliokuwepo kwenye uangalizi wa uchaguzi na ambao walishiriki mazungumzo ya usuluhishi kabla Maalim Hajajiengua wanasema hawapingani na tuhuma kwamba cuf kwa namna moja ama nyingine kuna maeneo walicheza rafu za wazi kabisa unasemaje kuhusiana na hilo?
nenda katafute mtu akusafishe chango wewe mpumbavu makamisha wote wa uchaguzi ni mijiCCM. wewe bweke kwa taariya yako CCM walikuwa hawana ujanja mara hii kwasababu cuf karatasi zote za matokeo walikuwa nazo na hii nimatokeo ya CCM wenyewe kuingia CUF wakawapa mikakati yote mara zote cuf walikuwa hawazipate karatasi zote za matokeo.
 
Nimesoma Kwa Umakini Nikadhani Una Kitu Cha Maana Ambacho Unataka Tukusikie, Kumbe Ushoga Mtupu!! Majimbo Yapo 51 Na Tume Imetangaza Majimbo 31 Yote Ya Unguja Na Kati Ya Hayo 31 Yenyewe, CUF Ilikuwa Na Viti 7 (MAJIMBO) Vya Uwakilishi Upande Wa Unguja Na Mgombea Wake Wa Urais Alimbwaga Yule Wa CCM Ktk Majimbo Hayo 7 Na Yule CCM Aliongoza Ktk Majimbo 24 Ya Unguja!! Haya Tuambie Hesabu Ya Majimbo 18 Ya Pemba, Ambayo Miaka Yote Na Cuaguzi Zooote Tokea 1995 CCM Inatoka Patupu (Hayo 18 Ni Baada Ya Figisu Za Kuyaunganisha) Je, CCM Walipata Majimbo Mangapi (Wawakilishi) Na Mgombea Wake Wa Kiti Cha Urais Alipata Kura Ngapi!!!!!?? Je, Kwanini ZEC Ya JECHA Ilpatwa Kigugumizi Kuendelea Na Utangazaji Matokeo Yaliobakia Ya Majimbo Ya Pemba!!!!!?? Je, Kwanini ZEC Haijaweka Hadharani Hicho Ulichokisema Kama Ndio Sababu Ya Jecha Kufuta Matokeo Hadi Leo Hii!!! JE, Kwani Hii Ni Mara Ya Kwanza Kwa CUF Na Mgombea Wao Wa Kiti Cha Urais Kusema Wao Ndio Washindi Mbele Ya Waandishi Wa Hbr!!!!?? JE, Sheria Inasemaje Kwa Mgombea Ambaye Amejitangaza Mshindi!!! Ni Kufuta Matokeo Ya Uchaguzi Au Kukamatwa Na Kushitakiwa!!!!?? JE, Matokeo Yaliosema Mgombea Wa CUF, Ni Jumla Au Ni Yale Ya Majimbo 31 Tu!!!! NADHANI Unachajaribu Kukifanya Kuupotosha Umma Wa TANZANIA, Kama Wanavyofanya Hao Waliokupotosha Ww Na Wenzio!!! Watanzania Wanajua Kila Kitu, Mnapata Shida Bure!!!
Ni kweli kwamba presidential vote hutegemea wingi wa kura. mimi sina statistics za idadi wa waliopiga kura pemba [island wise] na wale wa unguja ila ninafahamu kuwa kisiwa cha unguja kina watu wengi zaidi kuliko kisiwa cha pemba.
Hivyo basi inakuwa vigumu kukubali hoja yako. Mimi nimekuwa nikiangalia TVZ mara kwa mara na wamekuwa wakionyesha madude yaliyofanyika huko pemba. mfano saini ya msimamizi mmoja wa kituo kuonekana kwenye karatasi za vituo zaidi ya kimoja, karatasi nyingine hazina hata sahihi nk nk na vile vile nimemsikia maalim akitaja kura alizopata kwa ujumla wake lakini katika kauli yake hakusema kura ngapi ziliharibika na vile vyama vingine ingawa vilipata kura chache sana lakini hakutoa takwimu yoyote ile. Inavyotakiwa [hata kama yeye siyo msemaji wa tume] angetuambia kura ngapi zilipigwa, ngapi ziliharibika, mshindi wa kura kuanzia wa kwanza [cuf] hadi wa mwisho.
Haya nayo hamyaoni au ndiyo kama wanavyosema kupenda ni sawa na upofu?????
 
Eti "uchaguzi umalizike salama" kwani uchaguzi mkuu wa october haukumalizika salama?iwapo mreno na mkoloni mweupe walifurushwa zanzibar basi elewa na mkoloni mweusi hatobaki salama zanzibar.
Kama hizo ndiyo ndoto zako basi endelea kuota maana ingawa wale wazee wa 12 january 1964 sasa hivi wamechoka lakini watoto na wajukuu wamejaa tele nakuhakikishia mwarabu harudi zbar hata muungano ukifa. Kilichobakia fanyeni uchochezi halafu wanausalama wakija kimbilieni mombasa kama kawaida yenu na mwishowe muombe hadhi ya ukimbizi ughaibuni mle pesa za wavuja jasho wa huko [social welfare]
 
Kama hizo ndiyo ndoto zako basi endelea kuota maana ingawa wale wazee wa 12 january 1964 sasa hivi wamechoka lakini watoto na wajukuu wamejaa tele nakuhakikishia mwarabu harudi zbar hata muungano ukifa. Kilichobakia fanyeni uchochezi halafu wanausalama wakija kimbilieni mombasa kama kawaida yenu na mwishowe muombe hadhi ya ukimbizi ughaibuni mle pesa za wavuja jasho wa huko [social welfare]

Hivi wapemba ndio waarabu wanaotaka kurudi?

Wapemba si wako nchini kwao pale
 
Kama hizo ndiyo ndoto zako basi endelea kuota maana ingawa wale wazee wa 12 january 1964 sasa hivi wamechoka lakini watoto na wajukuu wamejaa tele nakuhakikishia mwarabu harudi zbar hata muungano ukifa. Kilichobakia fanyeni uchochezi halafu wanausalama wakija kimbilieni mombasa kama kawaida yenu na mwishowe muombe hadhi ya ukimbizi ughaibuni mle pesa za wavuja jasho wa huko [social welfare]
 
Kama hizo ndiyo ndoto zako basi endelea kuota maana ingawa wale wazee wa 12 january 1964 sasa hivi wamechoka lakini watoto na wajukuu wamejaa tele nakuhakikishia mwarabu harudi zbar hata muungano ukifa. Kilichobakia fanyeni uchochezi halafu wanausalama wakija kimbilieni mombasa kama kawaida yenu na mwishowe muombe hadhi ya ukimbizi ughaibuni mle pesa za wavuja jasho wa huko [social welfare]
Chuki zako zinatisha. Umenyeshwa sumu Kali. Muone Daktari.
 
Back
Top Bottom