Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,635
- 8,952
View attachment 716477 acha kuhubiri Injili nyingine hadi kwa kinywa alicho kupa Mwenyezi unatamka Muongonajua umemvaa huyu
View attachment 716478 mvue kwa Kusali na kufunga huku changamoto zako zinazo kusumbua zipeleke kwa Mwenyezi ili Akuinue
View attachment 716479 ukae ukijua Mwenyezi
View attachment 716481
![]()
![]()
Huyu ndiye mungu wa kwenye Bibilia. Mzee mwenye mvi. Huu ni utani usofaa hata kidogo.
Danieli 7 :9
“Ni katazama hata viti vya enzi vikawekwa, na Mmoja aliye mzee wa siku (Mwenyezi Mungu) ameketi, Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi.
Ufunuo wa Yohana 4:2, Imeandikwa hivi:”
Na mara nalikuwa katika Roho: na tazama, Kiti cha enzi kimewekwa mbinguni na mmoja ameketi juu ya kiti: na yeye aliyeketi alionekana mithili ya jiwe laq yaspi na akiki, na upinde wa mvua ulikizunguka kile kiti cha enzi, ukionekana mithili ya zumaridi.”
Mungu kweli hawezi kupambanua kati ya milango ya wenye kuamini na makafiri ila kwa alama? Kutoka, sura ya 12:12-13, meandikwa hivi:
“Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wamwanadamu na wanyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana. Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lolote likawaharibu nitakapoipiga nchi ya Misri.”
Mwenyezi Mungu anavunja ahadi zake! Je hajui kuwa Kuvunja ahadi ni aibu kubwa!?
1 Samweli 2:30-31,
"Kwa sababu hiyo, Bwana, Mungu wa Israel, asema, Ni kweli, nalisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele:lakini sasa Bwana asema, Jambo hili na liwe mbalinami…Angalia, Siku zinakuja, nitakapoukata mkono wako, na mkono wa mbali ya baba yako, hata nyumbani mwako hatakuwa mzee.”
Mungu pia aliwahidi Eli kwamba ukuhani wake ulikuwa wa maisha juu yake na wanawe, lakini baadaye hayo hayakutekelezwa.
Na vilevile katika 1 Samweli 13:13-14 imeandikwa hivi:
“… Bwana angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele. Lakini sasa ufalme wako hautadumu.”
Mungu yu mbali na uzushi huu, Ati alimwahidi Sauli Ufalme wake kuwa imara milele, na baadaye akavunja ahadi na akampa ufalme mtu mwingine:
najua umemvaa huyu
ungeanza kufuta agizo hili
acha nikukalange mnyewe kwa mnyewe
nakukumbusha tu kauli ya allah
mimi nimeelewa hivi