Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,504
- 7,108
Mgamboo tuuSiku hizi kuna polisi mwingine wa dunia. Russia
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mgamboo tuuSiku hizi kuna polisi mwingine wa dunia. Russia
Acha kuangaika , Tanzania hakuna military base ya US, ICC ya Arusha ipo katika ardhi ya TanzaniaICC Arusha kulikuwa na Mikataba gani? Kama kweli Wewe ni mjuzi wa mambo....!!!
story za viringe kahawa zinasema ipo Kigamboni.Hiyo militarily base ya marekani Tanzania ipo sehemu gani? Unatuletea story ya vijiwe vya kahawa
Bora ungekaa kimyaFor Fiscal Year 2021 (FY2021), the Department of Defense's discretionary budget authority is approximately $705.39 billion ($705,390,000,000).
Ukibadilisha kwa madafu yetu Bajeti yao tu ya Wizara ya ulinzi (Pentagon) ni Trillion 1,636
Sasa kama bajeti yetu ya nchi nzima ni Trillion 40 basi ni Miaka 41.
UrongoMarekani huwa anatoa matamko ya kulaani. ikishindikana anakuwekea vikwazo ikishindikana anakupa warnings. ikishindikana hapo sasa utamlaum mmarekani bure tu.
Utapigwa utachakaaa, kisha ataiacha nchi yenu imesambaratika mara magaidi mara waaasi mara vita vya wenyewe kwa wenyewe yani ilimradi mteseke.
Mmarekani hana muda wa kuweka mikwara
Mara sijui maonyesho ya jeshi. Mara majaribio ya silaha.
Yeye akikupa faida sana sana atakutajia bajeti yake ya ulinzi tu kwa mwaka.
Si unajua tena tajiri hana maneno mengi. Maneno mengi tunayo sisi waomba Mungu.
We huoni USA sasa hivi ameitia Dunia Kiberiti kila mahali panafuka Moshi. kimsingi vurugu zote anaetafutwa hapo ni mmoja tu.
North Korea
Kwa nini?
Sikia hiii
Marekani Anaogopa vitu vitatu kuhusu vita.
1. Kuungana kwa mataifa zaidi ya moja kupambana dhidi yake. ndio maana ana Millitary base kila mahali hadi bongo
2. Kupigana vita katika Ardhi yake. hii hakuna asie jua ndio maana bajeti ya CIA na FBI ni kubwa kUliko bajeti ya Wizara ya Ulinzi ya China na Supapawa Rusia ukizichanganya pamoja. na nchi nyingi ameweka nazo mikataba ya ulinzi ikiwemo Nato maanake hapa ni kuwa hakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA. .
3. Kumuondoa kwenye real superpawa na ushawishi Duniani.
Twende sasa.
anaelegwa hapa ni North korea si vinginevyo.
Akaifanya kwanza dunia iwe Busy.
1. Kwanza Aliiitambua jerusalem kama mjimkuu pili akijiondoa kwenye mkataba wa nyuklia na irani.
Kumbuka israel imeapa kuishambulia kijeshi irani kama mkataba wa nyuklia na mataifa tajiri utafeli.
Hii inamfanya washirika wa iran watakua bize na israeli hapo baadae wakati anafanya yake pale North korea.
wakati huo huo na ili israel iwe salama wameingia kwenye mkataba wa ajabu kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na Mataifa ya kiarabu, wakati huo huo iran na iraq na saudiarabia ni maadui wa kimkakati.
2. Turudi kwa supapawa Rusia. chini ya kamanda Andunje the great. yeye nae wana mshughulisha pale Ukraine kwanza hawapeleki silaha kali za maangamizi pale ukraine ili vita viende mda mrefu wala Nato haijajiingiza, ili russia supa pawa awe busy nayeye
turudi China.
3. Kwanza alitaka kumdhoofisha na china kwa vikwazo wakatafuta sababu wakakosa. wakategemea atamsaidia rusia kijeshi Hola sasa amepeleka chokochoko za Taiwan. Sema nae mchina anajielewa kakaza kidogo.
wanategemea ile sheria ya last principle of provocation ifanye kazi.
Mchina hapa ndie anae mchelewesha Usa. Sasa wakati USA anafanya yake na ile midege yake pale North Korea.
washirika wa kiduku wote watakua bussy.
Akili kubwa inaongoza akili ndogo.
Save my words.
Sema tulimtegemea supapawa Rusia angemaliza mchezo mapema kumkomoa USA. Sema wengi Rusia Ametuvunja mioyo yetu.
Mkuu taarifa za magaida kufanya mashambulizi wao wanazitoa wapi kama watu hao wanafanya mambo yao kwa siri? Hapa kuna anayewamiliki hao magaida na kuwapa maelekezo kisha kutoka na kusema kuwa kuna mashambulizi yamepangwa kufanyika mahali fulani na fulani, kama kweli nia yao kupambana na magaidi na wanajua hadi mipango yao na walipo, ugumu ukonwapi kuwashambulia mara moja mahali waliko biashara hii ikaisha?Mnajiita majina adimu (Alexander) harafu kichwa kinauji mtupu
Hutambui ile base military iliyopo Kenya(Mombasa),nikwajili ya ulinzi wake America ndani ya afrika mashariki ikiwemo tz zile tarifa zinazotolewaga na balozi za marekani na uingereza kuhusu magaidi kuvamia maeneo mbalimbali Uganda ,Kenya ,Tanzania hua zimechakatwa wapi ...mkuu
Hajakosea alivosema base military iliyopo bongo ndo hiyohiyo
Hahahah nadhani mtoa mada hatambui kuwa Kim Jong ni mwendawazimu zaidi ya Putin kwenye medani za kugawa kichapo cha ICBM na wala hajali😂😂😂 maana Marekani washamuonya sana ila huwa anachukulia zile ni kama bitch ass statements.Kwa ubabe wa USA,
North Korea wasingekua makombora ya nyuklia ya masafa marefu, wangeshakua Kama Iraq, afganistan na syria
Hahahah nadhani mtoa mada hatambui kuwa Kim Jong ni mwendawazimu zaidi ya Putin kwenye medani za kugawa kichapo cha ICBM na wala hajali maana Marekani washamuonya sana ila huwa anachukulia zile ni kama bitch ass statements.
ile Pearl Harbor ilikua Jamaica vile eehhakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA
Kabla haujachambua au kupostu jipime kwanza akili yako ipo sawa ,huna tatizo la mtindio?Marekani huwa anatoa matamko ya kulaani. ikishindikana anakuwekea vikwazo ikishindikana anakupa warnings. ikishindikana hapo sasa utamlaum mmarekani bure tu.
Utapigwa utachakaaa, kisha ataiacha nchi yenu imesambaratika mara magaidi mara waaasi mara vita vya wenyewe kwa wenyewe yani ilimradi mteseke.
Mmarekani hana muda wa kuweka mikwara
Mara sijui maonyesho ya jeshi. Mara majaribio ya silaha.
Yeye akikupa faida sana sana atakutajia bajeti yake ya ulinzi tu kwa mwaka.
Si unajua tena tajiri hana maneno mengi. Maneno mengi tunayo sisi waomba Mungu.
We huoni USA sasa hivi ameitia Dunia Kiberiti kila mahali panafuka Moshi. kimsingi vurugu zote anaetafutwa hapo ni mmoja tu.
North Korea
Kwa nini?
Sikia hiii
Marekani Anaogopa vitu vitatu kuhusu vita.
1. Kuungana kwa mataifa zaidi ya moja kupambana dhidi yake. ndio maana ana Millitary base kila mahali hadi bongo
2. Kupigana vita katika Ardhi yake. hii hakuna asie jua ndio maana bajeti ya CIA na FBI ni kubwa kUliko bajeti ya Wizara ya Ulinzi ya China na Supapawa Rusia ukizichanganya pamoja. na nchi nyingi ameweka nazo mikataba ya ulinzi ikiwemo Nato maanake hapa ni kuwa hakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA. .
3. Kumuondoa kwenye real superpawa na ushawishi Duniani.
Twende sasa.
anaelegwa hapa ni North korea si vinginevyo.
Akaifanya kwanza dunia iwe Busy.
1. Kwanza Aliiitambua jerusalem kama mjimkuu pili akijiondoa kwenye mkataba wa nyuklia na irani.
Kumbuka israel imeapa kuishambulia kijeshi irani kama mkataba wa nyuklia na mataifa tajiri utafeli.
Hii inamfanya washirika wa iran watakua bize na israeli hapo baadae wakati anafanya yake pale North korea.
wakati huo huo na ili israel iwe salama wameingia kwenye mkataba wa ajabu kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na Mataifa ya kiarabu, wakati huo huo iran na iraq na saudiarabia ni maadui wa kimkakati.
2. Turudi kwa supapawa Rusia. chini ya kamanda Andunje the great. yeye nae wana mshughulisha pale Ukraine kwanza hawapeleki silaha kali za maangamizi pale ukraine ili vita viende mda mrefu wala Nato haijajiingiza, ili russia supa pawa awe busy nayeye
turudi China.
3. Kwanza alitaka kumdhoofisha na china kwa vikwazo wakatafuta sababu wakakosa. wakategemea atamsaidia rusia kijeshi Hola sasa amepeleka chokochoko za Taiwan. Sema nae mchina anajielewa kakaza kidogo.
wanategemea ile sheria ya last principle of provocation ifanye kazi.
Mchina hapa ndie anae mchelewesha Usa. Sasa wakati USA anafanya yake na ile midege yake pale North Korea.
washirika wa kiduku wote watakua bussy.
Akili kubwa inaongoza akili ndogo.
Save my words.
Sema tulimtegemea supapawa Rusia angemaliza mchezo mapema kumkomoa USA. Sema wengi Rusia Ametuvunja mioyo yetu.
Budget inasaidia Nini wakati huyu USA Kuna Vita nyingi kaenda kachapwa ie Somalia, taleban,Vietnam, Iran etcFor Fiscal Year 2021 (FY2021), the Department of Defense's discretionary budget authority is approximately $705.39 billion ($705,390,000,000).
Ukibadilisha kwa madafu yetu Bajeti yao tu ya Wizara ya ulinzi (Pentagon) ni Trillion 1,636
Sasa kama bajeti yetu ya nchi nzima ni Trillion 40 basi ni Miaka 41.