Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,680
- 59,801
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....