Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,680
59,801
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.

Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?

Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.

NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.

Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam

1694940988849.png

Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil

1694941231466.png

IDADI YA WANAJESHI

NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.

Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
  1. KPA Ground Forces
  2. KPA Naval Forces
  3. KPA Air Force
  4. KPA Strategic Force
  5. KPA Special Operation Force
Nembo ya jeshi hili la korea ni

1694941635821.png

Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
 
KWANINI MAREKANI ANAWAOGOPA SANA NK

Mwanadiplomasia Ankit Panda anasema
:
The ability of Pyongyang to strike the American homeland makes a continuing security guarantee for the ROK far more dangerous than any benefit from easing Seoul’s defense burden.

Tayari NK wapo na ICBM yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Marekani.
 
NORTH KOREA DEFENSE SYSETMS
KN-06

The KN-06 (also know under the name of Pongae-5 SAM) is a mobile surface-to-air defense missile system designed and manufactured by the North Korean defense industry which seems to be similar to the Russian S-300 air defense missile system. The KN-06 missile is stored in a launching tube and fired vertically toward a flying target.

1694943531653.png
 
KN-11 Submarine-Launched Ballistic Missile
1694943865408.png


The KN-11 also called Pukguksong-1 was showed for the first during the North Korean military parade. It is a large solid-fuel missile which can be launched from submarine. This missile was tested for the first time in April 2016 followed by another test in August the same year that saw the missile fly 500 km into Japan’s air defense identification zone.
 
Back
Top Bottom