ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Pole sana hii ni Dogma ya Wayahudi, ni aina fulani ya ujinga na utumwa wa akilimiungu ipo mingi, ila Mungu wa kweli ni mmoja tu, MUNGU WA IBRAHIM ISAKA NA YAKOBO, yaani Mungu wa Israel. wengine wote ni uchafu tu. tunataka waabudu Mungu wa kweli.