Dunia yaanza changamka Lebanon, North Korea na China

HIMARS

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
69,373
94,566
Kuna hali isiyo ya kawaida inaendelea duniani.

Ukifuatilia majarida na TV za nchi mbali mbali utakutana na yafuatayo.

North Korea yasema inajiandaa na kuivamia South kivita, haya ni maelekezo ya Rais Kim kwenda kwa wanajeshi, kuwa wajiandae kivita.

Hayo yakijili, South Korea wameanza Utayari kwa wananchi wote kwa kwenda palipo Mahandaki karibu. Ikumbukwe kuwa North Korea ana lengo la kumuondoa Marekani maeneo ya karibu naye


Nchi za Kiarabu zimewataarifu raia wake walio Lebanon waondoke mapema, maana kuna kila dalili za vita kati ya Israel na Hezbollah

Taiwan nayo imepewa misaada ya kivita hivi karibuni ili iweze mkabili China ambaye kaapa lazima Taiwan iwe nchi moja na China
 
North korea hawez jaribu hata siku moja mvamia South Korea, akijaribu tu bas ajue ndo itakuwa mwisho wa utawala wa Kim Jong Un, mana USA atatumia mgongo huo kuweka chini ya himaya yake makombora ya NK,
Vita haitakuwa ngumu, sio China akiisaidia NK mara ataogopa vikwazo vya USA kama ilivyo kwa Russia, Russia wa kumsaidia nae anachinjwa huko Ukraine
 
Kitenge tv
main-qimg-e60f11f9282b702389c1700bddc6c337-lq.jpg
 
North korea hawez jaribu hata siku moja mvamia South Korea, akijaribu tu bas ajue ndo itakuwa mwisho wa utawala wa Kim Jong Un, mana USA atatumia mgongo huo kuweka chini ya himaya yake makombora ya NK,
Vita haitakuwa ngumu, sio China akiisaidia NK mara ataogopa vikwazo vya USA kama ilivyo kwa Russia, Russia wa kumsaidia nae anachinjwa huko Ukraine
UONGO unasema hivyo ukiwa Samvu La Chole
 
North korea hawez jaribu hata siku moja mvamia South Korea, akijaribu tu bas ajue ndo itakuwa mwisho wa utawala wa Kim Jong Un, mana USA atatumia mgongo huo kuweka chini ya himaya yake makombora ya NK,
Vita haitakuwa ngumu, sio China akiisaidia NK mara ataogopa vikwazo vya USA kama ilivyo kwa Russia, Russia wa kumsaidia nae anachinjwa huko Ukraine
China na NK wana mkataba wa ulinzi na wala haitakuwa mara ya kwanza kumlinda NK
 
Kuna hali isiyo ya kawaida inaendelea duniani.

Ukifuatilia majarida na TV za nchi mbali mbali utakutana na yafuatayo.

North Korea yasema inajiandaa na kuivamia South kivita, haya ni maelekezo ya Rais Kim kwenda kwa wanajeshi, kuwa wajiandae kivita.

Hayo yakijili, South Korea wameanza Utayari kwa wananchi wote kwa kwenda palipo Mahandaki karibu. Ikumbukwe kuwa North Korea ana lengo la kumuondoa Marekani maeneo ya karibu naye


Nchi za Kiarabu zimewataarifu raia wake walio Lebanon waondoke mapema, maana kuna kila dalili za vita kati ya Israel na Hezbollah

Taiwan nayo imepewa misaada ya kivita hivi karibuni ili iweze mkabili China ambaye kaapa lazima Taiwan iwe nchi moja na China
Mataifa yote muda huu yanaogopana.Kuanzia Israel mpaka Nkorea.Subiri uchokozwe ujibu .Usijaribu kutibua wenzako mambo yanaweza kukugeukia. Unapotaja Marekani unaitaja kama ndio ile ya zamani.Kwa sasa hana uwezo wa kuwasaidia marafiki zake.Wote wataishia kupata ahadi hewa.
Israel naye asijisahau mataifa ya kiarabu sasa sio sawa na yale ya mwaka 1967..
 
North korea hawez jaribu hata siku moja mvamia South Korea, akijaribu tu bas ajue ndo itakuwa mwisho wa utawala wa Kim Jong Un, mana USA atatumia mgongo huo kuweka chini ya himaya yake makombora ya NK,
Vita haitakuwa ngumu, sio China akiisaidia NK mara ataogopa vikwazo vya USA kama ilivyo kwa Russia, Russia wa kumsaidia nae anachinjwa huko Ukraine
Wewe hakuna unacho ongea hapa, hakuna siku South Korea au Marekani ita ivamia NK, hiyo siku haipo mkuu, Marekani anaweza vamia NK na akashinda vita, ila ujue kabisa South Korea, itakua imeishia hapo, mbona hili swala liko wazi sana.
Hiyo ni price ambayo hailipiki nikwambie, wamvamie halafu South na Japan waende wapi.
 
Kuna hali isiyo ya kawaida inaendelea duniani.

Ukifuatilia majarida na TV za nchi mbali mbali utakutana na yafuatayo.

North Korea yasema inajiandaa na kuivamia South kivita, haya ni maelekezo ya Rais Kim kwenda kwa wanajeshi, kuwa wajiandae kivita.

Hayo yakijili, South Korea wameanza Utayari kwa wananchi wote kwa kwenda palipo Mahandaki karibu. Ikumbukwe kuwa North Korea ana lengo la kumuondoa Marekani maeneo ya karibu naye


Nchi za Kiarabu zimewataarifu raia wake walio Lebanon waondoke mapema, maana kuna kila dalili za vita kati ya Israel na Hezbollah

Taiwan nayo imepewa misaada ya kivita hivi karibuni ili iweze mkabili China ambaye kaapa lazima Taiwan iwe nchi moja na China
Hapo kwa China na Taiwan bado sana. China muoga wa vita hataki kuharibi uchumi wake

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
North korea hawez jaribu hata siku moja mvamia South Korea, akijaribu tu bas ajue ndo itakuwa mwisho wa utawala wa Kim Jong Un, mana USA atatumia mgongo huo kuweka chini ya himaya yake makombora ya NK,
Vita haitakuwa ngumu, sio China akiisaidia NK mara ataogopa vikwazo vya USA kama ilivyo kwa Russia, Russia wa kumsaidia nae anachinjwa huko Ukraine
Vita sio kitu rahisi kama unavyo fikiri.
 
Kuna hali isiyo ya kawaida inaendelea duniani.

Ukifuatilia majarida na TV za nchi mbali mbali utakutana na yafuatayo.

North Korea yasema inajiandaa na kuivamia South kivita, haya ni maelekezo ya Rais Kim kwenda kwa wanajeshi, kuwa wajiandae kivita.

Hayo yakijili, South Korea wameanza Utayari kwa wananchi wote kwa kwenda palipo Mahandaki karibu. Ikumbukwe kuwa North Korea ana lengo la kumuondoa Marekani maeneo ya karibu naye


Nchi za Kiarabu zimewataarifu raia wake walio Lebanon waondoke mapema, maana kuna kila dalili za vita kati ya Israel na Hezbollah

Taiwan nayo imepewa misaada ya kivita hivi karibuni ili iweze mkabili China ambaye kaapa lazima Taiwan iwe nchi moja na China

= yakijiri.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom