Kinachoendelea duniani, anayetafutwa ni North Korea tu

Kwanza akifanya hivyo atakuwa anajitafutia maafa , maadui zake wote wataungana na hapo ndipo atakunywa chai bila sukari.

maadui wa USA wote wako busy wanashughulishwa huko kwenye nchi zao. Kiduku pekeake ndio amerelax
 
Mnajiita majina adimu (Alexander) harafu kichwa kinauji mtupu

Hutambui ile base military iliyopo Kenya(Mombasa),nikwajili ya ulinzi wake America ndani ya afrika mashariki ikiwemo tz zile tarifa zinazotolewaga na balozi za marekani na uingereza kuhusu magaidi kuvamia maeneo mbalimbali Uganda ,Kenya ,Tanzania hua zimechakatwa wapi ...mkuu

Hajakosea alivosema base military iliyopo bongo ndo hiyohiyo

asante mkuu.
 
Umesikia kwanza kuhusu Rais mpya wa South Korea? na yeye naye kichwa chake cha mwendazimu anahakikisha anakula sahani moja na North Korea jana katesti makombora 8 kwa mpigo kwenye bahari ya Atlantik huko akishirikiana na Marekani., Kiduku mavi kitambaani., North Korea ni nchi ndogo sana nuclear ameanza juzi fuatilia history ya mwanzilishi wa silaha za nuclear ndio utajua North Korea si chochote
Usha SEMA akishirikiana na Baba yake USA Kiduku sio Gadaffi
 
Marekani huwa anatoa matamko ya kulaani. ikishindikana anakuwekea vikwazo ikishindikana anakupa wornings. ikishindikana hapo sasa utamlaum mmarekani bure tu.

Utapigwa utachakaaa, kisha ataiacha nchi yenu imesambaratika mara magaidi mara waaasi mara vita vya wenyewe kwa wenyewe yani ilimradi mteseke.

Mmarekani hana muda wa kuweka mikwara

Mara sijui maonyesho ya jeshi. Mara majaribio ya silaha.

Yeye akikupa faida sana sana atakutajia bajeti yake ya ulinzi tu kwa mwaka.

Si unajua tena tajiri hana maneno mengi. Maneno mengi tunayo sisi waomba Mungu.

We huoni USA sasa hivi ameitia Dunia Kiberiti kila mahali panafuka Moshi. kimsingi vurugu zote anaetafutwa hapo ni mmoja tu.

North Korea

Kwa nini?
Sikia hiii

Marekani Anaogopa vitu vitatu kuhusu vita.

1. Kuungana kwa mataifa zaidi ya moja kupambana dhidi yake. ndio maana ana Millitary base kila mahali hadi bongo

2. Kupigana vita katika Ardhi yake. hii hakuna asie jua ndio maana bajeti ya CIA na FBI ni kubwa kUliko bajeti ya Wizara ya Ulinzi ya China na Supapawa Rusia ukizichanganya pamoja. na nchi nyingi ameweka nazo mikataba ya ulinzi ikiwemo Nato maanake hapa ni kuwa hakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA. .

3. Kumuondoa kwenye real superpawa na ushawishi Duniani.

Twende sasa.

anaelegwa hapa ni North korea si vinginevyo.

Akaifanya kwanza dunia iwe Busy.

1. Kwanza Aliiitambua jerusalem kama mjimkuu pili akijiondoa kwenye mkataba wa nyuklia na irani.

Kumbuka israel imeapa kuishambulia kijeshi irani kama mkataba wa nyuklia na mataifa tajiri utafeli.

Hii inamfanya washirika wa iran watakua bize na israeli hapo baadae wakati anafanya yake pale North korea.
wakati huo huo na ili israel iwe salama wameingia kwenye mkataba wa ajabu kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na Mataifa ya kiarabu, wakati huo huo iran na iraq na saudiarabia ni maadui wa kimkakati.

2. Turudi kwa supapawa Rusia. chini ya kamanda Andunje the great. yeye nae wana mshughulisha pale Ukraine kwanza hawapeleki silaha kali za maangamizi pale ukraine ili vita viende mda mrefu wala Nato haijajiingiza, ili russia supa pawa awe busy nayeye

turudi China.

3. Kwanza alitaka kumdhoofisha na china kwa vikwazo wakatafuta sababu wakakosa. wakategemea atamsaidia rusia kijeshi Hola sasa amepeleka chokochoko za Taiwan. Sema nae mchina anajielewa kakaza kidogo.
wanategemea ile sheria ya last principle of provocation ifanye kazi.

Mchina hapa ndie anae mchelewesha Usa. Sasa wakati USA anafanya yake na ile midege yake pale North Korea.

washirika wa kiduku wote watakua bussy.

Akili kubwa inaongoza akili ndogo.

Save my words.

Sema tulimtegemea supapawa Rusia angemaliza mchezo mapema kumkomoa USA. Sema wengi Rusia Ametuvunja mioyo yetu.
Marekani hana military base hapa Tanzania
 
Marekani huwa anatoa matamko ya kulaani. ikishindikana anakuwekea vikwazo ikishindikana anakupa wornings. ikishindikana hapo sasa utamlaum mmarekani bure tu.

Utapigwa utachakaaa, kisha ataiacha nchi yenu imesambaratika mara magaidi mara waaasi mara vita vya wenyewe kwa wenyewe yani ilimradi mteseke.

Mmarekani hana muda wa kuweka mikwara

Mara sijui maonyesho ya jeshi. Mara majaribio ya silaha.

Yeye akikupa faida sana sana atakutajia bajeti yake ya ulinzi tu kwa mwaka.

Si unajua tena tajiri hana maneno mengi. Maneno mengi tunayo sisi waomba Mungu.

We huoni USA sasa hivi ameitia Dunia Kiberiti kila mahali panafuka Moshi. kimsingi vurugu zote anaetafutwa hapo ni mmoja tu.

North Korea

Kwa nini?
Sikia hiii

Marekani Anaogopa vitu vitatu kuhusu vita.

1. Kuungana kwa mataifa zaidi ya moja kupambana dhidi yake. ndio maana ana Millitary base kila mahali hadi bongo

2. Kupigana vita katika Ardhi yake. hii hakuna asie jua ndio maana bajeti ya CIA na FBI ni kubwa kUliko bajeti ya Wizara ya Ulinzi ya China na Supapawa Rusia ukizichanganya pamoja. na nchi nyingi ameweka nazo mikataba ya ulinzi ikiwemo Nato maanake hapa ni kuwa hakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA. .

3. Kumuondoa kwenye real superpawa na ushawishi Duniani.

Twende sasa.

anaelegwa hapa ni North korea si vinginevyo.

Akaifanya kwanza dunia iwe Busy.

1. Kwanza Aliiitambua jerusalem kama mjimkuu pili akijiondoa kwenye mkataba wa nyuklia na irani.

Kumbuka israel imeapa kuishambulia kijeshi irani kama mkataba wa nyuklia na mataifa tajiri utafeli.

Hii inamfanya washirika wa iran watakua bize na israeli hapo baadae wakati anafanya yake pale North korea.
wakati huo huo na ili israel iwe salama wameingia kwenye mkataba wa ajabu kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na Mataifa ya kiarabu, wakati huo huo iran na iraq na saudiarabia ni maadui wa kimkakati.

2. Turudi kwa supapawa Rusia. chini ya kamanda Andunje the great. yeye nae wana mshughulisha pale Ukraine kwanza hawapeleki silaha kali za maangamizi pale ukraine ili vita viende mda mrefu wala Nato haijajiingiza, ili russia supa pawa awe busy nayeye

turudi China.

3. Kwanza alitaka kumdhoofisha na china kwa vikwazo wakatafuta sababu wakakosa. wakategemea atamsaidia rusia kijeshi Hola sasa amepeleka chokochoko za Taiwan. Sema nae mchina anajielewa kakaza kidogo.
wanategemea ile sheria ya last principle of provocation ifanye kazi.

Mchina hapa ndie anae mchelewesha Usa. Sasa wakati USA anafanya yake na ile midege yake pale North Korea.

washirika wa kiduku wote watakua bussy.

Akili kubwa inaongoza akili ndogo.

Save my words.

Sema tulimtegemea supapawa Rusia angemaliza mchezo mapema kumkomoa USA. Sema wengi Rusia Ametuvunja mioyo yetu.
Russia imepanga kama USA NA NATO watazidisha madharau basi itampatia kiduku mabomu 400 ya nuclear kwa awamu ya kwanza na 400 mengine kwa awamu ya pili 2
Hapo ndipo usa itakapo mpigia magoti mrusi
 
ila Tanzania , hii nchi aisee

mtu yuko nanjilinji huko kachaji simu na solar ,kalala kwa kitanda cha spring ila anabishana na maada hizi bila tafiti na matusi juu.

yuko nyuma ya keyboard anatype "mmarekani hamuwezi kiduku"
muulize kuhusu jina la mbunge wake jimboni ?
 
nchi za kicommunist waongo waongo sana Fatilia utanambia.
yan hata wakikuambia sasa hivi ni Mchana itabidi utoke nje ukahakikishe. hivi vizee viongo sana. wvinajiona ni visupapawa wakati hata kuungana vyenyewe kwa wenyewe haviwezi. vipo vipo tu. mikwara na kelele kibao.
 
Russia imepanga kama USA NA NATO watazidisha madharau basi itampatia kiduku mabomu 400 ya nuclear kwa awamu ya kwanza na 400 mengine kwa awamu ya pili 2
Hapo ndipo usa itakapo mpigia magoti mrusi
Mrusi atulie, US akimpa Ukraine nuke moto utamwakia Mrusi.
 
Marekani hawezi kuishambulia North Korea Kwa sababu North Korea ana nuclear na anasilaha za kushambulia mpaka marekani.
Kwamba zinakatiza bahari ya Pacific zinapiga Los Angeles Marekani ameziangalia tuu, daah Marekani huwa mnaichukulia poa sana
 
Marekani huwa anatoa matamko ya kulaani. ikishindikana anakuwekea vikwazo ikishindikana anakupa warnings. ikishindikana hapo sasa utamlaum mmarekani bure tu.

Utapigwa utachakaaa, kisha ataiacha nchi yenu imesambaratika mara magaidi mara waaasi mara vita vya wenyewe kwa wenyewe yani ilimradi mteseke.

Mmarekani hana muda wa kuweka mikwara

Mara sijui maonyesho ya jeshi. Mara majaribio ya silaha.

Yeye akikupa faida sana sana atakutajia bajeti yake ya ulinzi tu kwa mwaka.

Si unajua tena tajiri hana maneno mengi. Maneno mengi tunayo sisi waomba Mungu.

We huoni USA sasa hivi ameitia Dunia Kiberiti kila mahali panafuka Moshi. kimsingi vurugu zote anaetafutwa hapo ni mmoja tu.

North Korea

Kwa nini?
Sikia hiii

Marekani Anaogopa vitu vitatu kuhusu vita.

1. Kuungana kwa mataifa zaidi ya moja kupambana dhidi yake. ndio maana ana Millitary base kila mahali hadi bongo

2. Kupigana vita katika Ardhi yake. hii hakuna asie jua ndio maana bajeti ya CIA na FBI ni kubwa kUliko bajeti ya Wizara ya Ulinzi ya China na Supapawa Rusia ukizichanganya pamoja. na nchi nyingi ameweka nazo mikataba ya ulinzi ikiwemo Nato maanake hapa ni kuwa hakuna nchi itaweza kufanya lolote kwenye ardhi ya USA. .

3. Kumuondoa kwenye real superpawa na ushawishi Duniani.

Twende sasa.

anaelegwa hapa ni North korea si vinginevyo.

Akaifanya kwanza dunia iwe Busy.

1. Kwanza Aliiitambua jerusalem kama mjimkuu pili akijiondoa kwenye mkataba wa nyuklia na irani.

Kumbuka israel imeapa kuishambulia kijeshi irani kama mkataba wa nyuklia na mataifa tajiri utafeli.

Hii inamfanya washirika wa iran watakua bize na israeli hapo baadae wakati anafanya yake pale North korea.
wakati huo huo na ili israel iwe salama wameingia kwenye mkataba wa ajabu kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na Mataifa ya kiarabu, wakati huo huo iran na iraq na saudiarabia ni maadui wa kimkakati.

2. Turudi kwa supapawa Rusia. chini ya kamanda Andunje the great. yeye nae wana mshughulisha pale Ukraine kwanza hawapeleki silaha kali za maangamizi pale ukraine ili vita viende mda mrefu wala Nato haijajiingiza, ili russia supa pawa awe busy nayeye

turudi China.

3. Kwanza alitaka kumdhoofisha na china kwa vikwazo wakatafuta sababu wakakosa. wakategemea atamsaidia rusia kijeshi Hola sasa amepeleka chokochoko za Taiwan. Sema nae mchina anajielewa kakaza kidogo.
wanategemea ile sheria ya last principle of provocation ifanye kazi.

Mchina hapa ndie anae mchelewesha Usa. Sasa wakati USA anafanya yake na ile midege yake pale North Korea.

washirika wa kiduku wote watakua bussy.

Akili kubwa inaongoza akili ndogo.

Save my words.

Sema tulimtegemea supapawa Rusia angemaliza mchezo mapema kumkomoa USA. Sema wengi Rusia Ametuvunja mioyo yetu.
Hii ni ngonjera, USA hana military base Tanzania iko Kenya.

USA hawezi kuipiga North Korea sababu akifanya hivyo South Korea itakuwa majivu ndani ya dakika 5 tu.

North Korea hawaitaji kuomba silaha kama Ukraine wao wenyewe wanatengeneza silaha.

Vita sio bajeti pekee mbinu pia muhimu ndio maana USA alishindwa Somali na Afghanistan ambao hawana bajeti ya vita.
 
Umesikia kwanza kuhusu Rais mpya wa South Korea? na yeye naye kichwa chake cha mwendazimu anahakikisha anakula sahani moja na North Korea jana katesti makombora 8 kwa mpigo kwenye bahari ya Atlantik huko akishirikiana na Marekani., Kiduku mavi kitambaani., North Korea ni nchi ndogo sana nuclear ameanza juzi fuatilia history ya mwanzilishi wa silaha za nuclear ndio utajua North Korea si chochote
Ila anayo haijalishi kaipata lini
 
Mnajiita majina adimu (Alexander) harafu kichwa kinauji mtupu

Hutambui ile base military iliyopo Kenya(Mombasa),nikwajili ya ulinzi wake America ndani ya afrika mashariki ikiwemo tz zile tarifa zinazotolewaga na balozi za marekani na uingereza kuhusu magaidi kuvamia maeneo mbalimbali Uganda ,Kenya ,Tanzania hua zimechakatwa wapi ...mkuu

Hajakosea alivosema base military iliyopo bongo ndo hiyohiyo
Kenya sio Tanzania
 
Back
Top Bottom