ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,395
Ukubwa wa Israel ni kama mkoa wa Mtwara lakini inakuwa talk of the town!
Dunia imekuwa ikisimama mara kwa mara kwa ajili ya Israel.
Kilimo, sayansi, biashara, uchumi, Vita, ubunifu wanaongoza.
Mataifa mengi makubwa na madogo yanaenda kujifunza Israel.
Kuna mwaka Bara nzima la Africa likikusanywa na kataifa kama mkoa wa Mtwara eti kanataka kufanya biashara na Africa, kweli?
Pale UN usiseme, akiongea Israel wote wanaufyata. Israel akiamua yake USA, UK, China, Russia wote wananyamaza Kimya.
Middle East raia wanaandamana wee lakini mataifa yote yananyamaza Kimya.
Israel wana siri gani? Nini Siri ya haya mambo?
Dunia imekuwa ikisimama mara kwa mara kwa ajili ya Israel.
Kilimo, sayansi, biashara, uchumi, Vita, ubunifu wanaongoza.
Mataifa mengi makubwa na madogo yanaenda kujifunza Israel.
Kuna mwaka Bara nzima la Africa likikusanywa na kataifa kama mkoa wa Mtwara eti kanataka kufanya biashara na Africa, kweli?
Pale UN usiseme, akiongea Israel wote wanaufyata. Israel akiamua yake USA, UK, China, Russia wote wananyamaza Kimya.
Middle East raia wanaandamana wee lakini mataifa yote yananyamaza Kimya.
Israel wana siri gani? Nini Siri ya haya mambo?