kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 430
- 780
Asalam wana jamii! poleni na majukumu ya hapa na pale!
.
Niende moja kwa moja kwenye hoja!
.
.
Ukisoma nyuzi nyingi za hapa jamii forum zinawaongelea vibaya sana wanawake ambao wameajiriwa na kuwa wake za watu!
.
Ushauri wangu ni kutaka kupata kutoka kwenu mnaongeleaje hili swala, je ni sahihi, je kati ya mke wa kukaa nyumbani na mwajiriwa yupi ambae anafaa kuwa mke wa mtu ukiachana na vigezo vingine,
.
.
Changamoto zao ni zipi na kwa namna gani sisi wanaume tuweze kuishi nao, maana kwa sasa idadi ya wanawake ambao pia wamesoma ni kubwa, tushaurini nyinyi yasije kutukumba!
.
.
Natanguliza shukran
.
Niende moja kwa moja kwenye hoja!
.
.
Ukisoma nyuzi nyingi za hapa jamii forum zinawaongelea vibaya sana wanawake ambao wameajiriwa na kuwa wake za watu!
.
Ushauri wangu ni kutaka kupata kutoka kwenu mnaongeleaje hili swala, je ni sahihi, je kati ya mke wa kukaa nyumbani na mwajiriwa yupi ambae anafaa kuwa mke wa mtu ukiachana na vigezo vingine,
.
.
Changamoto zao ni zipi na kwa namna gani sisi wanaume tuweze kuishi nao, maana kwa sasa idadi ya wanawake ambao pia wamesoma ni kubwa, tushaurini nyinyi yasije kutukumba!
.
.
Natanguliza shukran