Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,417
- 25,948
Wengine hawana shughuli maalumu za kufanyaSIKU ZOTE UKIJALI NA KUFUATA YAKO HUWEZI JISHUGHULISHA NA YASIYO KUHUSU
Wengine hawana shughuli maalumu za kufanyaSIKU ZOTE UKIJALI NA KUFUATA YAKO HUWEZI JISHUGHULISHA NA YASIYO KUHUSU
Mbona picha za kugoogle hizo hazina uhalisia na stori yako?Ukipita viunga vya UDSM alfajiri-asubuhi na jioni/usiku. Utashuhudia kinadada wakiwa wanafanya jogging pembezon mwa barabara aisee ni full-mitego. Mtu anajibana mpaka ramani ya Makao Makuu yanaonekana. Wengine mpaka chachandu zinaruka-ruka. Mpaka mtu unajiuliza haya ni mazoezi tu ama Sokoni? Na wale Askari getin nadhani nao wanafurahia kuona hizo Mambo.
Ndo nguo za mazoezi jamani
Wewe usilinganishe miili ya dada zetu wa kiafrika na hao wazungu wenu...Sisi hawa dada zetu wamejaliwa kwelikweli....wanavutia sana Mungu aliwapendelea.....Tatizo mtoa maada akili zako zimetawaliwa na ngono tu...Tembea duniani ndio uone watu wanaishije... mfano mdogo ni Stockholm Sweden au Roma, Milan Italy Berlin au tumeseme nchi za ulaya ikifika jioni utaona mamia ya watu wanakimbia pembeni ya barabara kufanya zoezi na ni kitu cha kawaida sana sasa wewe ulietawaliwa na pepo la ngono ndio inawazaga hayo...acha watu wafanye zoezi
Kwa sababu wewe hazikusumbui haina maana hakuna zinayemsumbua.Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
Nenda makao mapya leo anza saa moja usiku ule anzia pale basi za marangu zinapaki alafu wenyewe watakueleza wanapoishiaTangu covid ianze bar zimekauka, madanga yamepotea, ufuska umehamia kwenye mazoezi, na hii nnaiona pia arusha along the new bypass, kuanzia ngaramtoni mpaka usa.. ni full mitego, wadada wengi wanafanya mazoezi kibiashara zaidi
Nenda Masaki/Oysterbay pia Udsm ndan mule na mipori Ile baraaNipe. Location na mm nijionee..
Ni kama Chibu vs Vimeo vyakeJifunze kuwaona kinyaa na kuwadharau itakusaidia,
Wachukulie kama makahaba au malaya waliopo mawindoni.
Mwanaume kila mwanamke ambaye siyo mke wako mwenye kuvaa mavazi ya mitego ukimchukulia hivyo kuwa ni cha wote , malaya ukamuona kinyaa itakusaidia sana na kubaki salama.
Lakini ukianza kuweweseka na kuona mbona wana shepu na nini ujue utajiweka kwenye hatari kubwa.
Mwanamke hata akiwa na shepu kiasi gani akishakuwa cha wote anakuwa hana maana tena,
Kwenye jamii utadharaulika kwa kutoka na malaya cha wote.
Nimeelewa mno point yako Mkuu. Laiti wore tungekua na mawazo Kama yako dunia ingekua mahala salama Pa kuishi.Jifunze kuwaona kinyaa na kuwadharau itakusaidia,
Wachukulie kama makahaba au malaya waliopo mawindoni.
Mwanaume kila mwanamke ambaye siyo mke wako mwenye kuvaa mavazi ya mitego ukimchukulia hivyo kuwa ni cha wote , malaya ukamuona kinyaa itakusaidia sana na kubaki salama.
Lakini ukianza kuweweseka na kuona mbona wana shepu na nini ujue utajiweka kwenye hatari kubwa.
Mwanamke hata akiwa na shepu kiasi gani akishakuwa cha wote anakuwa hana maana tena,
Kwenye jamii utadharaulika kwa kutoka na malaya cha wote.
Uko na vidio tuoneHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)