Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

nina miaka 29,na swala la ndoa naliona sio bahati yangu i mean sijioni nikiolewa in next five years,siingii ng'o mpaka niwe nimekamilisha mipango ya shule which will take me five years............:tape2:

Unahakika ukisemacho....?
 
nina miaka 29,na swala la ndoa naliona sio bahati yangu i mean sijioni nikiolewa in next five years,siingii ng'o mpaka niwe nimekamilisha mipango ya shule which will take me five years............:tape2:

29+5=34 unasomea nini?
 
Ndiooooooooooo, nafikiri tuliosema ndio tumeshinda na tupo wengi tu, kama huamini nitaku-pm uone. Ahsanteeeeeeeeeeeeeee. Halafu wewe Lindu Linduuuu kaa chini nimekusikia.[/QUOTE


aah sana...deiwaka zote hizo ya nn ukajipe presha...wengi wanaokimbilia kuolewa hawana dira ya maisha sasa anaona bora aolewe maisha yaende..
Mbaya zaidi aliyeuza cheni kauza ya bandia na aliyenunua cheni katoa hela bandia..hiyo ndo Daslaam bana.

sina shaka we ni changudoa
 
mnajidanganya tuu...ndoa ni sehemu muhimu nd withe the ryt preparation a marriage cn be succesful. sio mpango kwa sababu watu dnt value it na bado wanaingia kwenye ndoa.
Ndo mana nikasema ni intrest ya mtu..wengine hawataki hata kusikia ndoa
 
Mhhh!Ni asilimia ngapi ya akina dada wakiwa na miaka 25 wanakuwa shule wakichukua Masters?Hayo unayo tuambia dada ni maisha ya kufikirika!Huku kwetu kijijini mdada miaka 25 kama hujaolewa basi huolewi tena maana watakuita "kikongwe"!Dada yangu alipo fikisha umri huo bila ndoa akakata tamaa!Sasa ana watoto 7 na miaka yake 31

inaonyesha mwanamke akishakuwa na miaka 25 au zaidi nafasi ya kuolewa inapungua kwasababu inasadikika wanawake wanazeeka mapema.
 
Bro Tetra njoo usome huku...!

Hawataki kuolewa hadi wamalize masters...

Mwingine anahisi ana hormone za kiume yy kutwa kuwaza hela...

Vipi wewe utaoa lini bro??!

::
Ha ha ha
Kama hali ndo hii Mentor basi itabidi tuongee na kocha wa mapenzi maana Loo! Tutazeekea bench
=
 
Last edited by a moderator:
Tetra binafsi nina mpango wa kufikiria ndoa account zangu zikiwa na pesa kiasi.....................nisije kutafutwa na serengetiboys hapa,hivyo basiiiiiiiiii bado nipo nipo saaaaaana umri ni namba tu waoaji wakiisha hakuna neno,YESU ni ndoa tosha.

::
Asnam
Ukipunguza vigezo na masharti mbona utampata mnae match bila shida..Jaribu hilo Mafanikio ya maisha yatakuja tu mkiwa wawili,,na yataleta maana..Upweke una gharama zake Asi
=
 
Last edited by a moderator:
::
Asnam
Ukipunguza vigezo na masharti mbona utampata mnae match bila shida..Jaribu hilo Mafanikio ya maisha yatakuja tu mkiwa wawili,,na yataleta maana..Upweke una gharama zake Asi
=

tatizo sio kumpata tutakaematch ila muda bado saaaaaaana, umenichekesha hapo kwenye bold mie sina masharti magumu.
 
::
Ha ha ha
Kama hali ndo hii Mentor basi itabidi tuongee na kocha wa mapenzi maana Loo! Tutazeekea bench
=
ndo mndanganyana na huyu ndg yako kwamba kuna kocha out there wakati makocha ni nyie wenyewe:yuck::yuck:
 
tatizo sio kumpata tutakaematch ila muda bado saaaaaaana, umenichekesha hapo kwenye bold mie sina masharti magumu.

::
That's a big mistake mnalofanya mabinti wengi..KUPANGA UMRI WA KUOLEWA.
Muda huo unapofika Unashangaa wote uliowategemea wana ndoa zao tayari.
Na we kuwa na muda fulani wa kuolewa,tayari ni principle mojawapo.
Asnam
Nguvu ya ndoa inapokujia fuata mkondo wake mpaka mwisho.Vinginevyo we kuifuata itakukondesha kuipata.
=
 
Last edited by a moderator:
ndo mndanganyana na huyu ndg yako kwamba kuna kocha out there wakati makocha ni nyie wenyewe:yuck::yuck:

::
Uko sawa Asnam Makocha ni sisi wenyewe,,uko sawa tena sana tu.
Lakini tatizo la siku hizi linalotukwaza ni kuwa
LOVE IS ANOTHER NAME OF HEART PAIN
=
 
Last edited by a moderator:
::
That's a big mistake mnalofanya mabinti wengi..KUPANGA UMRI WA KUOLEWA.
Muda huo unapofika Unashangaa wote uliowategemea wana ndoa zao tayari.
Na we kuwa na muda fulani wa kuolewa,tayari ni principle mojawapo.
Asnam
Nguvu ya ndoa inapokujia fuata mkondo wake mpaka mwisho.Vinginevyo we kuifuata itakukondesha kuipata.
=

mi siangalii umri my bradha naangalia nina nini,nimefikia malengo niliyoyataka na mengine yatafuata.
 
::
Uko sawa Asnam Makocha ni sisi wenyewe,,uko sawa tena sana tu.
Lakini tatizo la siku hizi linalotukwaza ni kuwa
LOVE IS ANOTHER NAME OF HEART PAIN
=

hapo kwenye bold sio kwenu tu kila mtu ni mhanga wa hii inshu,tuombeane tu
 
mi siangalii umri my bradha naangalia nina nini,nimefikia malengo niliyoyataka na mengine yatafuata.

::
(Malengo +Umri + Mafanikio) - (Mtoto/Mke/Mume)= Mwenzangu itakuwa uko sayari ya Mars
=
 
Mh.... sio kweli

Asnam nahisi wewe ni ndugu yangu, kama sio ndugu yangu basi ni wa kule kule kwetu.... Make huwa naharibu kukusoma naona twafanana fanana.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom