Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
nakuaminia Wesley
 
Naamini kwa dhati kabisa kuna mtu sasa hivi anapitia katika wakati mgumu sana kuliko tunavyoweza kufikiri.Mtu anaweza kujiona mwenye nguvu na mamlaka ya kumpatiliza kila anayemuhisi kuingilia maslahi yake,anaweza kuanzisha vita na kila mtu,lakini kadili anavyozikanyaga haki za wenzake ndivyo naye anavyojiingiza katika vita yake binafsi na nafsi yake.

Ni afadhari mtu ukateswa na maumivu ya mwili kuliko kuteswa na "KARMA", ukiyaruhusu matendo yako yakufikishe hatua ya kuuondoa utulivu wako wa ndani,unakuwa " umejiangika mwenyewe msarabani" na kuiruhusu KARMA isimame kinyume na matendo yako ya kidharimu uliyoyafanya dhidi ya wanyonge na wasio na nguvu ya kujitetea.

KARMA ipo kazini,imesimama badala yetu,inajibu mapigo ya haki kutokana na maneno na matendo ya muhusika.Hili ndilo linaloweza kuwa sababu ya hisia zetu,ngoja tusubiri hatima ya vita hii kuu ya kidhamiri ifanyikayo ndani ya mtu,naamini mpambanaji wetu"KARMA"atatuwakilisha vizuri katika mpambano huu usioonekana.
 
Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco

Kwakweli hali hii inatupa wasiwasi!
WHAT'S COOKING?
 
Nasikia huyo bwana amesafiri kwenda Kazakhstani toka mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo la safari yake ni kuweka mambo sawa kuhusiana na kushtukiwa kwa deal la upigaji wa mabilioni ya shilingi katika ununuzi wa ndege za mtumba lakini zilizohalalishwa kuwa ni mpya (New Brand). Safi sana Zitto Zubeir Kabwe.
 
Naamini kwa dhati kabisa kuna mtu sasa hivi anapitia katika wakati mgumu sana kuliko tunavyoweza kufikiri.Mtu anaweza kujiona mwenye nguvu na mamlaka ya kumpatiliza kila anayemuhisi kuingilia maslahi yake,anaweza kuanzisha vita na kila mtu,lakini kadili anavyozikanyaga haki za wenzake ndivyo naye anavyojiingiza katika vita yake binafsi na nafsi yake.

Ni afadhari mtu ukateswa na maumivu ya mwili kuliko kuteswa na "KARMA", ukiyaruhusu matendo yako yakufikishe hatua ya kuuondoa utulivu wako wa ndani,unakuwa " umejiangika mwenyewe msarabani" na kuiruhusu KARMA isimame kinyume na matendo yako ya kidharimu uliyoyafanya dhidi ya wanyonge na wasio na nguvu ya kujitetea.

KARMA ipo kazini,imesimama badala yetu,inajibu mapigo ya haki kutokana na maneno na matendo ya muhusika.Hili ndilo linaloweza kuwa sababu ya hisia zetu,ngoja tusubiri hatima ya vita hii kuu ya kidhamiri ifanyikayo ndani ya mtu,naamini mpambanaji wetu"KARMA"atatuwakilisha vizuri katika mpambano huu usioonekana.


Tutajuaje kama mna imani bila kuwatahini?

INAONEKANA UNAOMBA USIKU NA MCHANA HALI IZIDI KUWA MBAYA NCHINI ILI UPATE JUKWAA!
'KARMA' HAITAKUBAGUA!
 
Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
Lakini Mkuu si aliahirisha ile issue ya Zambia akamtuma mama yetu ili yeye ashughulikie hili janga la Tetemeko,! Hili nafikiri ndio linasababisha wakina Pasco kuhoji,. Tuna majanga kila kukicha yes,! ila Hili lilifanya mkuu aahirishe mwaliko wa Zambia kwa ajili ya hili, sasa inapoakuwa kimya inaleta maswali,.
 
kuna sauti moja ilisikika mitaa ya ubungo kibangu ikigawa pesa...mara ikaenda wenye baraza la iddi ikagawa pesa....sauti..sauti...lakini watu wakapatwa na tetemeko sauti ikasinyaaa....kimyaaaa...sauti....sauti

sauti......ina kipande cha chuma moyoni...sauti...sauti...sauti.....tememeko limetetemesha hadi sauti

Mtoaji wa sauti ni Mungu na mchukuaji wa sauti ni Mungu
 
Ukimya wa mtu unaweza kutokana na mambo kadhaa, mawili kati ya hayo ni Inawekana mtu huyo kapatwa mshtuko mkubwa au hayo yaliyotokea yalitarajiwa!
 
Mambo mengine ni kwa vitendo sio kwa matamko, maneno tu hayata leta faida yeyote.
 
Tutajuaje kama mna imani bila kuwatahini?

INAONEKANA UNAOMBA USIKU NA MCHANA HALI IZIDI KUWA MBAYA NCHINI ILI UPATE JUKWAA!
'KARMA' HAITAKUBAGUA!

Ninyi si mna nguvu,acha "KARMA" isimame kwa niaba ya wanyonge na wasio na nguvu wanaodhurumiwa haki zao.Kwa yaliyofanyika Zanzibar na kauli zilizotolewa juu ya wale wanaodai haki,hata kama nimehubiriwa kusamehe 7X70,siwezi kuusamehe uovu ule,acha "KARMA" ifanye kazi yake.
 
Back
Top Bottom