Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Moto unawaka Israel, maelfu ya wananchi wenye hasira kali wamemiminika mtaani wakimtaka waziri Mkuu wa nchi hiyo Benjamin Netanyahu kujiuzulu kutokana na vita inayoendelea Gaza, ambayo haifahamiki itaisha lini na huku maelfu ya watu wakiuawa
Wengi wao wanamuona Netanyahu kama psychopath (kichaa katili) ambaye hafai kuongoza nchi
Tutaendelea kuwajuza.....
Wengi wao wanamuona Netanyahu kama psychopath (kichaa katili) ambaye hafai kuongoza nchi
Tutaendelea kuwajuza.....