Je, kundi la Lowassa limeshanusa hatari? Maana Nimekuta katika Facebook Ally Bananga wa Arusha, ambaye anafahamika sana kuwa mfuasi wa Lowassa akisema: "akikupiga ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio, akiuliza umeonaje nawe mwambie unajisikiaje. hakuna nidhamu ya uoga sasa, hakuna kugeuzana mbuzi wa kafara, imetosha, TUMEDHALILISHWA SANA, TUMEONEWA SANA, tumeamua, tunaweza. TULIFURAHI PAMOJA, TUKAHUZUNIKA PAMOJA NA SASA TUNASUKUMA PUSH PAMOJA. Huu utabaki ukweli. naam mushi ni AZIMIO LA DODOMA 2011!!
Ally Bananga Mwatiga3:15pm Nov 20
wapenda haki wote, wanapenda kijani na njano wote, wanaoguswa na tatizo la ajira kwa vijana, wanaotambua thamani ya mtu ni kazi, wanaotambua adabu ya wa kiume ni kutenda na sio kuropoka, wanaoamini rais ajae ni mungu ndie anamjua na sio wale waliosema jakaya anamjua, wanaopuuza kanda zingine wakiamini yao ni bora, wanaoamini ktk maamuzi magumu, MKONO MMOJA WEKA JUUU, WEKA JUUU AAAAH AAAAH NI ISHARA YA USHINDI!"...
Anayedhani kuna heri anajidanganya, hali si shwari