Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,323
eti kimenuka kha hili jukwaa linakoelekea,sijui!!shida yako act kiyumbe?
Kimenuka vipi sasa nani wa kupewa lawama kila mmoja yupo kisheria na anafanya kazi zake bila kuvunja sheria za nchi, hawa Baraza la Kilimo walikuwa wapi siku zote kupinga ilo jina.
Tatizo unakimbilia Ku comment soma habari yote wewe gamba.
ACT ya wakukima wana sema walisha andika baruwa kwa ACT ya zitto kuwambia that abbreviation inafanana na yao.
so what matters here ni kuangalia nani kamuingilia mwenzake,note that ACT wakulima sio political party,lakini ACT ya zitto ni political party .
note that ACT wakulima is a combination of different wakulima ambao ni members wa different political parties so zitto awaachie wakulima ACT yao.
Kimenuka vipi sasa nani wa kupewa lawama kila mmoja yupo kisheria na anafanya kazi zake bila kuvunja sheria za nchi, hawa Baraza la Kilimo walikuwa wapi siku zote kupinga ilo jina.
ACT chama kubwa ndo maana linakutana na vingingi,ili dhahabu iwe na thamani kubwa lazima ipitishwe kwenye moto,Diamond imekuwa formed under high pressure.Vitu vizuri haviji kirahisi.ACT kazeni kamba mwishowe mtasimama tu.
Majungu mengine haya Bana kama taarabu
Ujinga mwingine hauna kichwa wala miguu.
Wewe nipeleke popote upendapo mimi nachochea kuni kavu tu pale Ufipa.
Wewe ndiyo uelewewi kosa la ACT lipo wapi msajili wa vyama kawakubalia walitumie hilo jina. Unataka ACT wafanyaje?
Nasikia na hawa...
Traffic Light Protocol (TLP)
Wamemuandikia barua Mrema aache kutumia jina la TLP.
Kwani kifupisho ndio nembo? Kama nembo ya Agricultural Council of Tanzania na Hicho chama cha siasa ni moja, hapo ndio panaweza kuwa na tatizo lkn kwa kifupisho "ACT" hakuna tatizo lolote hapo zaidi ya huyo dr kujidhalilisha. Na ile "Allied Command Transformation " (ACT) nao Baraza la kilimo washtakiwe?
Na ile Australian Capital Territory (ACT) ?
Masikini CCM "yetu"! Watetezi wote wa chama sasa wamegeuka watetezi wa ACT-Tanzania sorry IMean ACT-wazalendo sasa tutabaki na nani? Labda Juliana Mfyonza pekee aliyewatukana vijana wa ACT-T pekee. Anyway, kama wanachosema watu kuwa ACT ni Idara ndani ya chama kubwa basi hamna shida.
Huyo Juliana anachuki binafsi na mpuuzi aliyejiunga juzi coz alimuahidi kumuoa akamwacha kwenye mataa....
E bwana ee! Kweli MUNGU mkubwa! Sasa hiyo ndoa kama ingekuwapo wadhani mambo yangekuwaje? Fikiria,sumu ya cobra changanya na ya mamba kisha wape watu kwenye pombe huo msiba utakuwaje?
Wewe kama umeiona hiyo barua itakuwa sawa. Lakini kama na wewe haujaiona basi wewe utakuwa jeta!Kwani umeiona tarehe ya barua waliyopelekewa viongozi wako, au una ugonjwa wa kupenda.
Wewe nawe kumbe zoba. Traffic Light Protocol nacho ni chama? Kimepata usajili wapi? Uwezo wako wa akili unafahamika hapa JF lakini sio that low!
pambaneni na limbu kwanza...mmeshindwa hata kufanya homework kujua kuna ACT nyingine!
cheki ulivyo mbumbumbu ndugu,some times you need to do your home work before you comment such a rubbish in public.Wewe ndiyo uelewewi kosa la ACT lipo wapi msajili wa vyama kawakubalia walitumie hilo jina. Unataka ACT wafanyaje?
Nasikia na hawa...
cheki ulivyo mbumbumbu kwenye maswala ambayo yako wazi kabisa..kwani traffic act protocol ni chama cha siasa au cha umoja wa watu fulani?
utachekwa wewe Gamba usiejue lolote .do your home work before yapping .
Traffic Light Protocol (TLP)
Wamemuandikia barua Mrema aache kutumia jina la TLP.